Recent content by gilby

  1. gilby

    Wabomoa kaburi na kumwibia marehemu nguo

    Kwel mtu katoka kwa baba akiwa uchii Mali na bahari ni za dunia inakuwaje mtu ANAzikwa na vitu vya thamani kama sio upungufu wa lishe ubongoo
  2. gilby

    Hebu mpe ushauri huyu binti

    Nko DAR ES SALAAM
  3. gilby

    Mh. Zitto tunakuomba ugombee jimbo la Ubungo

    Tatizo la watanzania ndo iloo Ooh! Serikali hapo hakuna mjumbee au mtendajii Unalaumu tuu mbunge yaan yy aje kufanya kazi za nyumban kwako
  4. gilby

    Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

    Man pacq yeye anangumi za haraka sana na pia baada ya kupiga anapumzika kwenye kambaa akivuta pumzi sasa baba may weather awez acha MTU anasubiri kwenye kambaaaa!!!!? Pacq anapigika vizuri sanaaaa Kocha wa pacq anajaribu kumuelekeza abadili staili ya mguu wa kulia mbele na kupigia mkono shoto....
  5. gilby

    Hatari: Kwa wenye mahusiano na zaidi ya mmoja

    Kweli kabisa hii mada naona inaelimisha good ndugu
  6. gilby

    ITV yatumika kumpigia kampeni Lowassa kabla ya muda

    Roho inawauma siyoo eeh!! Basi tumpigie promo zitto aliyeendakupeleka umbea kwa raisi anajidai anapenda watu wa umma panya kabisa
  7. gilby

    Hebu mpe ushauri huyu binti

    Mimi ni msichana wa miaka 21 ninampenzi wangu tumekaa naye mwaka wa tatu sasa, ninampenda sana na ninamjali mpeenzi wangu ananihudumiaga kila ninachitaka, ila nimepata mpenzi mwingine kwenye instagram, anasema ananipenda sana. Ebu niambieni, ila naona huruma kumuacha mpenzi wangu huyu kwasababu...
  8. gilby

    Afrika Kusini Vs Afrika

    Yani ni ivii inatakiwa kupigwa na wao piaa?? Ila sujui kama balozi wa south ndugu Lowasa anafanya nn?? Zimbabwe yenyewe inawarudishaaa tz wapiuu.... Ila ushetanii
  9. gilby

    Dr. Mengi Ashtushwa na taarifa za kuiangusha serikali ya Kikwete

    Zitto kabwe ni jinga kweli ivi wewe kwa akili yake hivyo alivyofanya ni ujanja au upuuzii, sasa kama ni masilahi ya wananchi je? Mengi ni n@nii? ZITTO HAFAIIII
  10. gilby

    Nipo South Africa hapa Hakukaliki

    Dah! Very badly hapo itakuwa kunamkono wa makaburuu,, pia napenda kusema ivii wale ni vibakaa
  11. gilby

    Nyumba ya Askofu Gwajima imezungukwa na Polisi sasa hivi

    Ajali tegeta kibaoni daladala
Back
Top Bottom