Kwa nchi kama ya kwetu hatuna uwezo wa kufanya kama wanigeria.Sisi hawa makaburu ndiyo wameshika uchumi wa Tz.Hivyo ukisema fyoko nchi itayumba.Nigeria ni tofauti yapo mataifa mengi yamewekeza pale.Hata hivyo kama ni uhasama uwe kwa hao weusi wenzetu maana ndiyo wauaji wa ndugu zetu kule kwao.
Waziri husika yuko bize na mipango ya kampeni, hakika Tanzania itakua ya mwisho kutoa tamko.
kwanni tusiutimue ubalozi wao hapa nchini????
kwanni tusizuie wananchi wao kuingia hapa nchini????
na kwanni tusiwatimue wananchi wao waliopo hapa nchini??????