ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,368
Mimi ni msichana wa miaka 21 ninampenzi wangu tumekaa naye mwaka wa tatu sasa, ninampenda sana na ninamjali
Mpenzi wangu ananihudumiaga kila ninachitaka, ila nimepata mpenzi mwingine kwenye instagram, anasema ananipenda sana.
Ebu niambieni, ila naona huruma kumuacha mpenzi wangu huyu kwasababu ananifanyia kila kutu, ila wa Facebook pia nampenda
#Nushaurini je? Nimuache au maana nimechoka sasa kuwaza
tafuta mwingine Twitter na usimwache yule yule wa Badoo.
shame on you