Recent content by Gilbert Julius

  1. Gilbert Julius

    Anaandika Maulidi Kitenge kuhusu Miquissone

    Maneno mengi alafu hakuna point ya maana.
  2. Gilbert Julius

    Mkoani Katavi, askari wa TAWA wamedaiwa kumpiga mtu mmoja na kumsababishia umauti

    Huko wilaya ya Mlele Mkoani Katavi askari wa TAWA wamedaiwa kumpiga mtu mmoja na kumsababishia umauti baada ya kumkuta porini. Baada ya kumpiga vibaya wakampeleka kituo cha polisi cha Inyonga wilayani Mlele. Walivyoona atawafia kituoni wakampeleka hospital kupoteza ushahidi. Yaani mtu amefia...
  3. Gilbert Julius

    Ihefu wamejua kunyamazisha watu

    Baada ya matokeo ya Yanga ya goli 5-0 kwa mechi mbili mashabiki wengi wa yanga hata wa Simba pia waliamini kuwa msimu huu Yanga anaweza kumaliza ligi bila kufungwa. Lakini mapema tu wamedondosha points,tena kwa yule yule aliyevunja mwiko wa unbeaten. Kwa mtazamo wangu matokeo ya jana yamefanya...
  4. Gilbert Julius

    TANZIA Rubani aliyetorosha ndege baada ya kuvunjika EAC, Captain Narzis Mapunda afariki dunia

    Mgawa pesa za umma alikuwa anagawa kwa akina nani mbona mimi hakunigawaia?
  5. Gilbert Julius

    Wasimuliaji wenye sauti nzuri sana, na zenye mvuto

    Shabani Kissu hana mpinzani kwa hapa bongo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Gilbert Julius

    Waziri Mkuu Majaliwa, njoo Tanga usikilize kero za Wananchi

    Mkoa mzima kwa ujumla una matatizo, hao NIDA ndiyo usiseme kabisa.
  7. Gilbert Julius

    Joshua Nassari: Watanzania wenzangu na watu wangu wa Meru. Tumefanyiwa dhuluma na uonevu. Nitazungumza kesho na vyombo vya habari

    Ikiwezekana Nasari achapwe na viboko kwa kosa la uzembe wake. Na Mashinji nae achapwe viboko vyake kwa kosa la kushindwa kumfuatilia Nasari nyendo zake mpaka akavuliwa ubunge. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Gilbert Julius

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Siyo kila kitu ni kulaumu tu, unakumbuka wale vijana 12 na mwalimu wao waliozingirwa na maji Thailand ilichukua muda gani kuwaokoa? Na kwa hali ilivyo humo hakuna mtu aliye hai labda kwa miujiza tu.Kwenye mafunzo ya huduma ya kwanza unashauriwa kujilinda kwanza wewe mtoa mhuduma ndiyo utoe...
  9. Gilbert Julius

    GPA ya 32, maandiko yametimia

    Hauwezi kusema ile ni propaganda wakati haujaujuwa undani wa yule jamaa, haya ni matumizi mabaya ya maamuzi. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Gilbert Julius

    Ushauri: Mwanangu wa kiume uume (mashine) haisimami, mama yake kashauriwa amuonyeshe nyeti kumtibia

    Kama haujawahi kusikia hili jambo usijiite mzee kuanzia leo.
  11. Gilbert Julius

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Umesema umekuwa wa kujaribu kila kitu, alafu unasema alikuwa amelewa ikaingia bahati mbaya, unatupotezea muda wakati wewe unafanya tangazo la biashara
  12. Gilbert Julius

    Walinzi wa Area D (Dodoma) walikuwa wapi wakati Lissu akishambuliwa?

    Dereva anajuwa kila kitu lakini yuko Nairobi anatengeneza movie
  13. Gilbert Julius

    Benard Membe shujaa, Karibu Yusuf Manji Uraiani

    Nafikiri ni wakati wao kujiongeza Manji na Lissu akopona na kuendelea na siasa
Back
Top Bottom