GPA ya 32, maandiko yametimia

GPA ya 32, maandiko yametimia

Hili tukio wala halina propaganda yoyote maana halina faida kwa rais. Watu mnataka kulikuza au kujifanya wachambuzi. Hamna kitu katika hilo tukio sababu halioneshi jambo lolote la manufaa kwa rais.jamaa ali fail ,alifail period. But halimwongezei credit yoyote rais. Eti kujenga taswira kuwa wasomi hawafai.....wakati rais ndo anachagua wasomi daily.hakuna rais ambaye amebase kwenye kuchagua wasomi kama magufuli. Then kama lilipangwa basi linaonesha kuwa hakuna kazi au kazi za upendeleo kutokana na maneno ya yule kijana.acheni kujifanya wachambuzi kwa uchambuzi fake.
 
Hapo kwenye Conclusion, Ukiangalia kwa jicho pembuzi kama ndivyo wanavyo amini CCM wako sahihi. Makazini na mtaani tunakutana na wasomi wengi sana wa ajabu ajabu. Kwa sie wenye ofisi binafsi inatubidi wakati mwingine tuajiri kwa vigezo vingine nje ya elimu na kununua vyeti.
Hali ya wasomi wetu ni mbaya wala tusipepese macho kwenye hili
Unalozungumza lipo lakini wamefikia kiasi cha kusahau hata vyuo na kozi walizosoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu muda tunaotumia kueleza vitu ambavyo hata havina tija kwa mtu mmoja mmoja wala NCHI, tutakuja kuukumbuka.

Anyways, nimejifunza asili na MAANA ya neno propaganda.
 
Hapo kwenye Conclusion, Ukiangalia kwa jicho pembuzi kama ndivyo wanavyo amini CCM wako sahihi. Makazini na mtaani tunakutana na wasomi wengi sana wa ajabu ajabu. Kwa sie wenye ofisi binafsi inatubidi wakati mwingine tuajiri kwa vigezo vingine nje ya elimu na kununua vyeti.
Hali ya wasomi wetu ni mbaya wala tusipepese macho kwenye hili

Ebu endelea kuto pepesa macho "hali ya wasomi wetu ni mbaya namna GANI".
 
Hili tukio wala halina propaganda yoyote maana halina faida kwa rais. Watu mnataka kulikuza au kujifanya wachambuzi. Hamna kitu katika hilo tukio sababu halioneshi jambo lolote la manufaa kwa rais.jamaa ali fail ,alifail period. But halimwongezei credit yoyote rais. Eti kujenga taswira kuwa wasomi hawafai.....wakati rais ndo anachagua wasomi daily.hakuna rais ambaye amebase kwenye kuchagua wasomi kama magufuli. Then kama lilipangwa basi linaonesha kuwa hakuna kazi au kazi za upendeleo kutokana na maneno ya yule kijana.acheni kujifanya wachambuzi kwa uchambuzi fake.
Wasomi wanateuliwa mkuu, na hizo ni nyadhifa na si nafasi za ajira tunazozizungumzia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili tukio wala halina propaganda yoyote maana halina faida kwa rais. Watu mnataka kulikuza au kujifanya wachambuzi. Hamna kitu katika hilo tukio sababu halioneshi jambo lolote la manufaa kwa rais.jamaa ali fail ,alifail period. But halimwongezei credit yoyote rais. Eti kujenga taswira kuwa wasomi hawafai.....wakati rais ndo anachagua wasomi daily.hakuna rais ambaye amebase kwenye kuchagua wasomi kama magufuli. Then kama lilipangwa basi linaonesha kuwa hakuna kazi au kazi za upendeleo kutokana na maneno ya yule kijana.acheni kujifanya wachambuzi kwa uchambuzi fake.
Faida si ni kusema hakuna tatizo la ajira bali wasomi wenyewe ndo hao. Japo hawajui bado lawama ni zao kwa serikali yao kutoa wasomi wa hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halina propaganda sababu hata hao wasomi wamesoma vyuo vya chini ya serikali ya CCM. so bado halina tija kwa CCM. maana sana sana imeonesha kuwa jamaa hakusoma. Hakuna mtu aliyesoma atakayesema alivyosema jamaa.hamna.so akili ndogo tu na uwezo mdgo wa ku reason unagundua it wasnt staged. Imetokea either jamaa alilewa au hayupo ok kichwan.

Faida si ni kusema hakuna tatizo la ajira bali wasomi wenyewe ndo hao. Japo hawajui bado lawama ni zao kwa serikali yao kutoa wasomi wa hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale akina Dr shika, nabii tito na huyu wa GPA 32 ni watu wa kitengo hutokea kipindi fulani ku interfere ishu zilizopo mezani hasa kama mazingira ya ufyatuaji lisasi yapo vibaya kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nabii Tito yupo tangu enzi za Mkapa na mishe zake ni hizo hizo wala hajabadili kitu, ni promo tu ndio ilitokea muda huu.
 
PROPAGANDA TANZANIA.
Ni miaka 32 sasa tangu Rais wa kwanza wa Tanzania hayati mwl Julius Nyerere ang'atuke,maadui wakuu watatu Ujinga,Maradhi na Umasikini graph yake inapanda kwa kasi,Tumeongeza Ujinga,Maradhi na Umasikini umekithiri,Mission failed.
Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance? - JamiiForums

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance? - JamiiForums
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu? - JamiiForums

Umechoshwa na Ujinga, Umasikini, Maradhi, Rushwa na Ufisadi?!, 25/10 "Give It, "Just One More Try!" - JamiiForums

Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! - JamiiForums
Mtaji mkuu wa ushindi wa CCM ni umasikini na ujinga!, tunapoelekea kuwa nchi ya uchumi wa kati, huu umasikini utapungua na sera nzuri ya rais Magufuli ya elimu bure, itafuta ujinga kwa kiasi kikubwa, hivyo CCM haitakuwa tena na ule mtaji wanaoutegemea, hivyo either itabadilika na kufanya siasa za ukweli ili iendelee kutawala milele, vingenevyo lazima tuu itapisha njia kwa sababu kila lenye mwanzo, lina mwisho!.
 
Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance? - JamiiForums

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance? - JamiiForums
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu? - JamiiForums

Umechoshwa na Ujinga, Umasikini, Maradhi, Rushwa na Ufisadi?!, 25/10 "Give It, "Just One More Try!" - JamiiForums

Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! - JamiiForums
Mtaji mkuu wa ushindi wa CCM ni umasikini na ujinga!, tunapoelekea kuwa nchi ya uchumi wa kati, huu umasikini utapungua na sera nzuri ya rais Magufuli ya elimu bure, itafuta ujinga kwa kiasi kikubwa, hivyo CCM haitakuwa tena na ule mtaji wanaoutegemea, hivyo either itabadilika na kufanya siasa za ukweli ili iendelee kutawala milele, vingenevyo lazima tuu itapisha njia kwa sababu kila lenye mwanzo, lina mwisho!.
Mkuu kuna tofauti kubwa sana kati ya Ukuaji wa kiuchumi(Economic growth) & Maendeleo ya kiuchumi(Economic development).kitakwimu Nigeria ni taifa lililopiga hatua kubwa sana kiuchumi barani Afrika,lakini ukipitia Human Development Index Report ambayo ni kipimo cha maendeleo ya mtu mmoja mmoja utabaini hata Tanzania tuna afadhali kuliko umasikini ule wa Wanigeria.
Hili ni tatizo kubwa hasa katika mataifa yetu ya kiafrika,kushindwa ku-transform ukuaji wa kiuchumi ili uwafaidishe wananchi kwa mmoja mmoja.Kwa maana hiyo siamini kabisa kwamba kifikia 2030 Umasikini utakuwa umepungua kiasi hicho kufikia kuing'oa CCM..NB;Simaanishi haitang'oka.

Pili ni Elimu ipi mkuu unayoizungumzia?,Ni Elimu hii inayoandaa taifa la watawaliwa au unamaanisha ipi?
Amini amini nakuambia elimu hii ambayo ipo kimkakati haiwezi na haitaweza kumkwamua Mtanzania katika Lindi la umasikini wa fikra.
Amini amini nakuambia elimu hii ya kimkakati haiwahusu na wala hautawahusu tabaka la watawala ambao wao watasoma Uturuki,USA,Germany nk..Binafsi kwa utafiti wangu mdogo Elimu ya Tanzania inaathiri kwa kiasi kidogo sana maamuzi ya Wapiga kura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance? - JamiiForums

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance? - JamiiForums
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu? - JamiiForums

Umechoshwa na Ujinga, Umasikini, Maradhi, Rushwa na Ufisadi?!, 25/10 "Give It, "Just One More Try!" - JamiiForums

Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! - JamiiForums
Mtaji mkuu wa ushindi wa CCM ni umasikini na ujinga!, tunapoelekea kuwa nchi ya uchumi wa kati, huu umasikini utapungua na sera nzuri ya rais Magufuli ya elimu bure, itafuta ujinga kwa kiasi kikubwa, hivyo CCM haitakuwa tena na ule mtaji wanaoutegemea, hivyo either itabadilika na kufanya siasa za ukweli ili iendelee kutawala milele, vingenevyo lazima tuu itapisha njia kwa sababu kila lenye mwanzo, lina mwisho!.
Mkuu kuna tofauti kubwa sana kati ya Ukuaji wa kiuchumi(Economic growth) & Maendeleo ya kiuchumi(Economic development).kitakwimu Nigeria ni taifa lililopiga hatua kubwa sana kiuchumi barani Afrika,lakini ukipitia Human Development Index Report ambayo ni kipimo cha maendeleo ya mtu mmoja mmoja utabaini hata Tanzania tuna afadhali kuliko umasikini ule wa Wanigeria.
Hili ni tatizo kubwa hasa katika mataifa yetu ya kiafrika,kushindwa ku-transform ukuaji wa kiuchumi ili uwafaidishe wananchi kwa mmoja mmoja.Kwa maana hiyo siamini kabisa kwamba kifikia 2030 Umasikini utakuwa umepungua kiasi hicho kufikia kuing'oa CCM..NB;Simaanishi haitang'oka.

Pili ni Elimu ipi mkuu unayoizungumzia?,Ni Elimu hii inayoandaa taifa la watawaliwa au unamaanisha ipi?
Amini amini nakuambia elimu hii ambayo ipo kimkakati haiwezi na haitaweza kumkwamua Mtanzania katika Lindi la umasikini wa fikra.
Amini amini nakuambia elimu hii ya kimkakati haiwahusu na wala hautawahusu tabaka la watawala ambao wao watasoma Uturuki,USA,Germany nk..Binafsi kwa utafiti wangu mdogo Elimu ya Tanzania inaathiri kwa kiasi kidogo sana maamuzi ya Wapiga kura

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shati lake likikuwa jipya sana kama vile limenunuliwa Jana yake au asubui ya kuinadi GPA
 
Back
Top Bottom