Gilbert Julius
Senior Member
- Jan 28, 2014
- 102
- 72
Huko wilaya ya Mlele Mkoani Katavi askari wa TAWA wamedaiwa kumpiga mtu mmoja na kumsababishia umauti baada ya kumkuta porini.
Baada ya kumpiga vibaya wakampeleka kituo cha polisi cha Inyonga wilayani Mlele.
Walivyoona atawafia kituoni wakampeleka hospital kupoteza ushahidi. Yaani mtu amefia njiani kutoka polisi kwenda hospital.
Walipofika hospital wakasema wamemuokota porini.
Jinsi maiti inavyozidi kukaa inavimba upande mmoja wa tumbo. (Mateke).
Baada ya kumpiga vibaya wakampeleka kituo cha polisi cha Inyonga wilayani Mlele.
Walivyoona atawafia kituoni wakampeleka hospital kupoteza ushahidi. Yaani mtu amefia njiani kutoka polisi kwenda hospital.
Walipofika hospital wakasema wamemuokota porini.
Jinsi maiti inavyozidi kukaa inavimba upande mmoja wa tumbo. (Mateke).