Recent content by gigapixel

  1. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    Duh! Uzi mrefu kiasi Mwishoni mwa mwa mwaka 2011 karibia na kipindi cha msimu wa sikukuu nikiwa nasubiri majibu ya mtihani wa kidato cha nne. Nilikuwa naishi na bibi yangu katika moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini. Nilikuwa napenda sana kujifanya msela na kuiga uhuni kampani yangu kubwa...
  2. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu, msaada wale watumiaji wa sportybet kwanini nikiweka hela inajidouble kwa mfano nikiweka elfu kumi kwa odds 3 inajidouble x2 inaandika elfu 20 halafu winning amount unakuja 29000 yaani elfu ishirini kwa odds 3 inakujaje 29000? Au ni vipi naweza nikaitoa iyo double? App yao...
  3. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Kim Kardashian na Paris Hilton kuhojiwa sakata la Ronaldo kubaka

    Hahahaaa Kim fundi wa kunyonya mashone
  4. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Kim Kardashian na Paris Hilton kuhojiwa sakata la Ronaldo kubaka

    Huyo kachanganya mafile
  5. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Kwa wa CUBA, Castro alikuwa Cuba na Buba ilikuwa Castro

    Hapana, nchi kama Tanzania kwa sasa haiihitaji watu kama Castro watanzania bado hawajui wanahitaji nini!
  6. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Swali gumu kidogo: Kwanini Urusi iliyosambaratika na dhaifu kuliko USSR inawasumbua sana NATO?

    Warusi walikufanya mini ndugu? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Swali gumu kidogo: Kwanini Urusi iliyosambaratika na dhaifu kuliko USSR inawasumbua sana NATO?

    Ni kweli Korea kaskazini na Korea kusini ni nchi ambazo zipo eneo moja kijiografia lakini huwezi kuzifananisha kimaendeleo kwa muktadha wako, Korea kaskazini na Korea kusini ni kama mabondia wawili wanaopigna lakini mmoja kafungwa mikono ambaye ni Korea kaskazini na mwingine hajafungwa ambaye...
  8. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Thanks TopUp nimeipata
  9. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau naombeni link ya 1xbet niweze kupakua app msaada jamani
  10. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Uamke asubuhi ukute account yako ina $150 billion utafanya nini?

    Akili za usiku
  11. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Tuseme ukweli: Tv nyingi za kichogo zina ubora wa picha kushinda hata Flat screen

    Sîo kweli, nunua TV flat ya kisasa ila ntakubaliana na wewe kama unatumia flat screen zenye teknolojia ya kizamani kama plasma,LCD etc
  12. gigapixel

    JamiiForums Tanzania Nani aliyegawa code number za nchi mbalimbali?

    Country codes are assigned per region by International telecommunications union (ITU) na ni kutokana na makubaliano tu -North America +1 -Africa +2 -Europe +3 & +4 -Latin America +5 -Australia, Malaysia, Philippine, Singapore and Indonesia +6 -Asia +7, +8 & +9 -
  13. gigapixel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wanawake hawapendi kudate na wanaume wafupi?

    Tatizo watu wafupi akili zao zipo karibu na mavi
  14. gigapixel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali: Hivi mabikra wanapataga hamu ya kufanya mapenzi?

    Unapata shaka na nini mkuu, wasichana wengi washapinda wanaanza ngono kabla hata hawajabalehe, ndio maana kuna mwingine juzi alikuwa anauliza kama msichana bikra anapata 'bleed'..hii yote wanaanza kufumuliwa tokea utotoni. Hapa kitaa kuna katoto kana miaka 11 kapo darasa la sita ukikaangalia...
  15. gigapixel

    JamiiForums Tanzania URUSI: Begi lenye viganja 54 vya binadamu labainika katika barafu

    Hapana, nimejaribu kuangalia reaction ya warusi (hasa kipindi hiki cha kukaribia uchaguzi) kisha nikajaribu kuunganisha tofauti ya akili zao na wabongo
Back
Top Bottom