Wanabodi tangu mwaka 2015 mabadiliko makubwa sana ya kiuongozi yamefanyika hasa katika taasisi nyeti za Kibunge, kimahakama, kiusalama, nishati,na mashirika ya umma.
Naweza kusema MTU pekee ambaye amesalia ni Professa Mussa Juma Assad ambaye mchakato wake kumbadilisha ni tata, sio rahisi.
Job...