Recent content by gibishi

  1. gibishi

    JamiiForums Tanzania Kwaherini Star times

    Azam bado channel mbili tu kinakuwa king'amuzi bora duniani. Wakiweka Startv na Wasafi TV wstatisha hatari. Mpaka sasa Azam anaongoza kwa goli 8 Dstv 0. UEFA tutaiangalia bar
  2. gibishi

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi!

    Kwanza tutambue kuwa wasukuma ni 30% ya watanzania wote. Je Kabla ya Magufuli population hiyo iliakisi katika kila nyanja au sekta serikalini? Je tukienda jeshini Leo, polisi, magereza, hospital, wizarani, serikali kuu, bungeni, nk tutakuta 30% ya wasukuma? Toka Uhuru hapakuwahi kuwa na Rais...
  3. gibishi

    JamiiForums Tanzania Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

    Mama Anna Mghwira anakwenda kutumbuliwa na huyo DC anakwenda kupandishwa cheo
  4. gibishi

    JamiiForums Tanzania Jerry Silaa: Magufuli acha ubabe!

    Ndio maana yuko benchi mpaka leo
  5. gibishi

    JamiiForums Tanzania January Makamba anafaa kusimamia TAMISEMI?

    Anafaa kuwa Rais Wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.
  6. gibishi

    JamiiForums Tanzania Ndugai kujaribu kumwingiza Rais katika chuki zake binafsi na CAG. Ndugai ni tatizo kubwa ambalo linaweza kuja kutugharimu sana

    Habari wanajamvi! Tumeshuhudia mgogoro mkali kati ya Ndugai na Prof. Juma Assad. Kwangu mgogogoro huu nauona kama mgogoro binafsi kati ya Ndugai na Prof. Assad kwani bunge limeingizwa tu kama fimbo (maoni binafsi). Kwakuwa mwaka 2020 nimwaka Wa uchaguzi Wa Rais na wabunge, naamini Job Ndugai...
  7. gibishi

    JamiiForums Tanzania Lemutuz 'Mobimba nyee nyee' amvalisha mtu pete ya uchumba

    Kibamia kile vipi? Atavumilia kweli kamashine kale au itabidi asake jitu jingine LA mkunazi? After all Lemutuz kazeeka unaokewa na mwanaume Wa miaka 54 unategemea nini sasa? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. gibishi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipeni sifa za wanawake wafupi!

    Hawana uwezo Wa kuendesha maisha yao bila nguvu ya MTU anayemuogopa. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. gibishi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Patrick Oita Nyapara: Askari Polisi aliyemtandika mpenzi wake Risasi 47

    Mimi nisomeshe kisha niambiwe sina kigezo. 47 chache sana yule ilikuwa inahitajika RPG Sent using Jamii Forums mobile app
  10. gibishi

    JamiiForums Tanzania Spika Job Ndugai: Matatizo yetu na Prof. Mussa Assad ni kutuita dhaifu, alitakiwa ajiuzulu. Hatuna tatizo na ripoti yake, tutaifanyia kazi

    Umenipotezea bando langu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. gibishi

    JamiiForums Tanzania Prof Assad ameonesha mfano kwa wasomi wetu

    Wanabodi tangu mwaka 2015 mabadiliko makubwa sana ya kiuongozi yamefanyika hasa katika taasisi nyeti za Kibunge, kimahakama, kiusalama, nishati,na mashirika ya umma. Naweza kusema MTU pekee ambaye amesalia ni Professa Mussa Juma Assad ambaye mchakato wake kumbadilisha ni tata, sio rahisi. Job...
  12. gibishi

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Sekondari walioomba ajira za Serikali, wajiandae Kisaikolojia

    Wengine ni shule ya Msingi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. gibishi

    JamiiForums Tanzania Hakuna Rais dikteta duniani anayeweza kukubali ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Fedha za Serikali kupelekwa bungeni na kuwepo kwa mjadala huru

    Hakujawahi kutokea Rais au mfalme ambaye anaendesha nchi kidikteta duniani akaruhusu ushirika chanya na mamlaka ya ukaguzi na udhibiti Wa fedha za serikali. Madikteta ndio wahasibu, ndio watangaza tenda zote za serikali, ndio Magavana Wa benki kuu za nchi. Madikteta huendesha mabunge yao kwa...
  14. gibishi

    JamiiForums Tanzania Dah ACT inaenda kuwa Chama kikubwa cha upinzani Tanzania, ghafla bin paaaap...!!

    Kwakukusaidia tu nikwamba hakuna mkuu Wa wilaya wala mkoa huku bara aliyetayari kupoteza ajira yake eti tu kuna mbunge Wa upinzani kashinda. Hata zitto mwenyewe haingii bungeni 2020 Ila atakuwa mwenyekiti Wa chama kikuu cha upinzani kwasababu ya wabunge kutoka Zanzibar. Kambi rasmi ya upinzani...
  15. gibishi

    JamiiForums Tanzania Utendaji wa TBA, Mzee, si tulikutonya?

    Jeshi linauwezo Wa kusimamisha majengo ndani ya huo muda kwasababu wanayonguvukazi ya kujitosheleza. Wakiamua kuchukua vijana 3000 Wa JKT wakaenda hapo kwenye mradi kazi itapigwa ndani ya muda Wa miezi miwili na kumaliza kabisa. Nadhani JWTZ hakuna isichoweza kama tu itaamua Sent using Jamii...
Back
Top Bottom