Trimmer
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 2,678
- 4,550
kwa kweli,, huyo kaburu hapana aiseeWe unaye tumia dstv ukiwaza package itaisha mapema baki huko startime
kwa kweli,, huyo kaburu hapana aiseeWe unaye tumia dstv ukiwaza package itaisha mapema baki huko startime
Bado continetoWasalimie huko uendako acha sisi tuliobaki tuendelee kuwachangia Wachina
Humu ukisoma maoni ya watu utadhani wote wanaishi nyumba zenye geti simu ni iPhone na usafiri ni V8 kutwa nzima uongo mtupu teh teh teh shida tupuHa ha haaa mkuu huku kila mtu eti ana Dstv, sisi wa Zuku na mchina taabu ipo
We unaye tumia dstv ukiwaza package itaisha mapema baki huko startime
Inaelekea hujawahi tumia DSTV
Watz sijui nani aliwaroga. Yani asilimia kubwa ya wanaotumia DSTV hujiona wenye hela na wajanja. Yani huhisi wapo ulayaNjoo Dstv, ila usiwe na hela ya mawazo kuweka kifurushi


.Hamna unawasingizia mkuu ni mwezi mie sijawahi katiwa kabla tarehe ninayo lipa ni hiyo hiyo tena siku hizi unakumbushwa kabla hata siku 5DSTV,,!? Kabisa,, kifurushi kinakata siku 25 badala ya 30 na kikikata hata TBC huioni,, DSTV hapana aisee
We unaye tumia dstv ukiwaza package itaisha mapema baki huko startime
Mmejoleta sisiemu sasa wenyewe Hukú chaneli teń pale clouds huko itv...Baada ya channels za Azam, ten, clouds na ITV kurudishwa na Azam Tv sasa imebidi kuwapa Star times kwaheri ya kuonana.
Binafsi nimeteseka sana kuwafuatilia kila inapotokea tatizo lakini huduma yao imekuwa hairidhishi. Kumbe hakuna kitu kibaya kama ukiritimba. Niwashukuru sana Azam tv na kwaherini ya kuonana star times
Kweli mmetutesa.
Sawa mwezi uliopita tu nimelipia tarehe 2/8 tarehe 26/8 wakakata,,
Uliwapigia wakasemaje? Inawezekana ilikuwa connetion tu ya nyaya au signal zilishuka. Ila hawana kawaida ya kukata kabla ya siku
It still doesn't matterWatz sijui nani aliwaroga. Yani asilimia kubwa ya wanaotumia DSTV hujiona wenye hela na wajanja. Yani huhisi wapo ulaya.
Umenunua DTSV kwa 99,000 na unalipia kifurushi cha 19,000 huzidi hapo ilhali mwingine kanunua Azam 150,000 na analipia Sh. 18,000 unajiona mwenye hela na uliyeendelea.
Huwa nawafananisha na wale wanaosema hawapendi movie zilizotafsiriwa alafu unawakuta wanaangalia movies za Jet Lee wakihisi anaongea kiingereza kumbe zimetafsiriwa pia kutoka kichina kuja kiingereza. Simply unagundua anajikweza tu kuwa anajua kiingereza
Startimes kupata channel flani ninazozipenda ni 36000 ila Dstv ni 29000It still doesn't matter



Startime 149000 nilinunua alafu Dstv ni 99000 hapo mtu wa Dstv bado anajiona ana maishaaa...



Azam bado channel mbili tu kinakuwa king'amuzi bora duniani.Baada ya channels za Azam, ten, clouds na ITV kurudishwa na Azam Tv sasa imebidi kuwapa Star times kwaheri ya kuonana.
Binafsi nimeteseka sana kuwafuatilia kila inapotokea tatizo lakini huduma yao imekuwa hairidhishi. Kumbe hakuna kitu kibaya kama ukiritimba. Niwashukuru sana Azam tv na kwaherini ya kuonana star times
Kweli mmetutesa.
Star times miaka mitano wanaonesha picha zilezile, kazi yako ni kugeuzageuza tu. TCRA hawashughulikii malalamiko ya watazamaji wao kazi yao ni kukamata tu!Baada ya channels za Azam, ten, clouds na ITV kurudishwa na Azam Tv sasa imebidi kuwapa Star times kwaheri ya kuonana. Binafsi nimeteseka sana kuwafuatilia kila inapotokea tatizo lakini huduma yao imekuwa hairidhishi. Kumbe hakuna kitu kibaya kama ukiritimba. Niwashukuru sana Azam tv na kwaherini ya kuonana star times Kweli mmetutesa.
hamna ITV, CLOUDS TV, CHANNEL TEN, STAR TVNjoo dstv huku full shangwe