Ndio maana wanamsifia na kumwimbia mapambio na kusema mitano tena kama hushtuki utaungana nao kusema mam anaupiga mwingi. Huyu mama hafai kabisa katika taifa hili.
Mimi najiuliza ccm hawana vijana wasomi mpaka wampendekeze mzee wasira na makala? Hao niwachumia tumbo tu, watanzania tuamke wakati wa Mungu ndio sasa. Kwa pamoja tuiunge mkono chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.