Recent content by geraldkowero1

  1. G

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    Pikipiki imara na bora ni Honda ikifuatiwa na Yamaha na jamii ya Suzuki.Tatizo bei zake na hata vipuli vyake ni ghali.
  2. G

    Vodacom Tanzania, mmeamua kunyonya watu baada ya kushindwa kufanya biashara ?

    Hiyo ni offer kwa walio Dar na je wa Mikoani tunaipataje?
  3. G

    JUVICUF kuhusu safari ya kwenda Buguruni Jumapili

    Wewe ni ndugu yake Lipumba? Yaani wewe kwako unauona huu mtafaruku ni wa kufanyia majaribio kwa kiongozi kama maalim Seiff?Ushauri wako peleka Lumumba ulipwe buku zako tano.
  4. G

    Tuseme: Makonda, Haya hapa Majina ya Wauzaji Madawa ya Kulevya wakubwa

    Makonda kama mkuu wa mkoa anao wa uwezo wake kuwakamata katika mkoa wake.Watakuwepo watakaoshughulikiwa na waziri mambo ya ndani kitaifa.Mwisho wapo mapapa ambao mkuu wa nchi kupitia mambo ya ndani ataamuru kukamatwa kwao.Angalau mwanzo umeonyeshwa na mkuu wa mkoa na leo ameongeza watuhumiwa...
  5. G

    Kampuni ya Tahmeed yaleta mabasi mfano wa ndege

    Niliposoma muundo wa ndege nilielewa ni muundo kwa nje na nikawa najihoji itakuweje kupishana barabarani.Kumbe kwa nje wala haina shape utadhani leyland za zamani.Huo ni mpangilio wa viti tu tena kwa kuminya nafasi maana upana wa body ni ule ule na body builder yeyote hata Manji...
  6. G

    Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

    Ni ununda na ujinga tu wa baadhi ya wanaume.Sasa kama kweli huyu bwana ni muoaji tabia za mchumba wake zimeshaonyesha ni malaya na hafai.Je akimweka ndani itakuwaje?Huyu dada kwa maelezo yake tu amedhihirisha sio mwaminifu.Tena ukimweka ndani huyu na kuzidi kumfuatilia kila afanyalo hana simile...
  7. G

    Je Mwanadamu atafufuliwa akiwa na Umri Gani?

    Ndugu yangu kumbe nayo majina hutia upofu.Sihitaji kujua kama wewe ni mkristo au vinginevyo ila itoshe tu kukuambia siku ya ufufuo kitakachofufuliwa ni roho na sio mwili.Mwili utarudia mavumbi ila pumzi ya Mungu aliyokupulizia na ndio roho ataihitaji kwa ajili ya hukumu.
  8. G

    DANGOTE cement imekuwa adimu

    Kazi ya kuwekeza miundo mbinu ni ya serikali. Yeye kama mwekezaji ni kuzalisha,kuajiri raia wenu na kulipa kodi stahiki.Hizo tambo anazotambiwa kuwa ni mpiga dili,mkwepa kodi na mharibu mazingira ni laana zetu zinawazunguka.Dangote ni billionea anae mwacha Trump kwa umbali wa kurusha jiwe na sio...
  9. G

    Kwa hii kashfa, Mchungaji Anthony Lusekelo (Mzee wa Upako) atajisafishaje?

    Yaani toka nasoma michango ya wachangiaji wote wa huu uzi wa mzee wa upako wiseboy umepasua ukweli wa picha hii.Hongera sana.Kwa kweli mimi jana niliusoma uzi huu mrefu kwenye makundi ya whatsup nami nikawa na mashaka hayo hayo.Huyu tena alikaa nae kwa zaidi ya siku moja kwani watoto walidai...
  10. G

    Tetesi: Giza kuu la NASA na dalili ya kiama kwa utabiri wa Mtume (s.a.w)

    Hapana ndugu yangu huko unajichumia dhambi bure.Tumefundishwa mwenyezi Mungu ni mkamilifu na mwenye rehema.Ikiwa anaweza kusamehe dhambi nyekundu kama damu na zikawa nyeupe kama theluji hakika kwa neema anaweza kutusamehe hata na hukumu ya ya milele ukiamini hivyo.
  11. G

    Tetesi: wafanyakazi wawili wa ndani wauliwa na maboss zao wa kihindi masaki

    Kwa lugha na usharobaro huu hata ulichoandika ni vigumu kukubalika acha kueleweka.Sio kila mtu anaweza kupandiaha uzi humu.Pole yako.
  12. G

    Aliyetobolewa macho na Scorpion apelekwe India kwa ajili ya matibabu

    Ingawa ni wazo zuri la mleta uzi maana sote tunataka aone tena kama mwanzo.Nashauri ipigwe simu huko na kusomewa vipimo vya Muhimbili wanaweza kurudisha majibu kama uwezekano huo upo apelekwe haraka kabla mishipa haijaziba.
  13. G

    Mama Rwakatare: Aliyetobolewa macho na Scorpion anaweza kuona tena

    Lazaro alifufuliwa na Yesu kwa kuwa alikufa katika imani.Pia ndugu zake akiwemo na dada yake walikuwa ni watu wa imani kubwa katika Kristo na mafundisho yake na waliamini uwezo huo alikuwa nao.Kumbuka alikwenda kuombwa na dada yake Lazaro akiwa kwenye mkutano kuwa kaka yake yu hoi akamwekee...
  14. G

    Itakuwaje Watu warefu wakipanda ndege zetu

    Hana lolote la msaada atakalomalizia zaidi ya kebehi tu.Kwa kawaida taifa letu wananchi wengi ni wenye urefu wa wastani na ni wachache mno wenye urefu wa Thabit.Ikitokea kwa abiria mmoja mrefu na mara chache sana akawa abiria wa ndege hizo na kuinama mlangoni na hata ikibidi hadi kwenye kiti...
Back
Top Bottom