Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,080
Ha ha ha haaaaaa
Shame on you
Endelea kuisoma namba na kusaga meno, mvivu mkubwa unatia na kinyaa na kwa kuandika hayo unajieleza wewe ni unanukia uchafu 24/7
Ha ha ha haaaaaa
Shame on you
Endelea kuisoma namba na kusaga meno, mvivu mkubwa unatia na kinyaa na kwa kuandika hayo unajieleza wewe ni unanukia uchafu 24/7
Ulizia kati ya wafuasi wa Seif na walioenda mabibo kufanya vurugu nani yuko muhimbili.Watu watano walijitoa sadaka Mabibo walienda katika kambi ya Maalim seif kimya kimya awakuwaita waandishi wa habari wao walitenda kazi ya kuwachapa wafuhasi wa seif kimya kimya
Ukiona mtu anatangaza operesheni maalum kwa mbwembwe ujue huyo ni muoga tu
Kinacho fanyika mkulanga mbaka Ikwiriri ndio operesheni kimya kimya
Haya mabwabwa ya seif yanatafuta huruma ya serikali yanatangaza vita kwenye media
Njooni Buguruni!I kwa Shari alafu mkalazwe muhimbili vitanda viko vingi awamu hii ya tano..
Nimekufanisha na roboti la Matope ukimwagiwa tu Unaloa Sehemu zako zoteHa ha ha haaaaaa
Shame on you
Endelea kuisoma namba na kusaga meno, mvivu mkubwa unatia na kinyaa na kwa kuandika hayo unajieleza wewe ni unanukia uchafu 24/7
majibu ya kibavicha hayaSababu wewe unakatwa ndiyo unahisi hivyo?
HahahahaBora mkatoe kinyesi cha Lipumba,kambaya na vibaraka wenzie sababu wamechora hata kuta kwa kinyesi..
Nasikia Mungiki wa Lipumba Kapanguliwa kisigino.majibu ya kibavicha haya
Watu wanasema eti mimi ni muoga, siyo hivyo, unaangalia consequences za hicho unachotaka kukifanya na attainment of your objectives! Mtauawa and that is the end of the story! Walipouawa watoto South Africa, it ignited the catastrophic condemnation around the world and the objective were realized! Will this move ignite the same?
vijaUmesikika
Wewe ni ndugu yake Lipumba? Yaani wewe kwako unauona huu mtafaruku ni wa kufanyia majaribio kwa kiongozi kama maalim Seiff?Ushauri wako peleka Lumumba ulipwe buku zako tano.Ni vema Maalim Seif akaenda Buguruni na kuingia ofisini kwake bila kushirikiana na Lipumbavu. Aende tu tuone polisi watafanya nini.
Ni usafi wa kusafishana, hata mimi nina hamu ya kushuhudia.Ni usafi wa aina gani mnataka kwenda kufanya huko?