Itakuwaje Watu warefu wakipanda ndege zetu

Itakuwaje Watu warefu wakipanda ndege zetu

Watu wanavyojua kuponda, wakati wenyewe full kudandia vibajaji daily!
Jitahidi upande manake watatoa ofa kwa mwezi mzima, angalau uje uhadithie wajukuu zako
 
View attachment 410545 View attachment 410372 Mzuka wanaJamvi!

Ni mtazamo wangu tu. Tuseme kwa mfano Hashim Thabit akipanda hizi ndege zetu mpya Bombardier alivyomrefu halafu kakata siti ya nyuma kabisa na pakuingilia na kutoka ni mlango wa mbele si atapata shida sana. Kwasabab hizi ndege ziko chini sana ukilinganisha na zile Boeing za 80s. Yani itakuwa mwendo wa kuinama tu hadi ufikie siti yako hoi mgongo unauma.

Serekali ingalia hili kwa jicho la tatu Kwasabab ni kuwabagua watu warefu na kuwanyima fursa nao kupanda hizi ndege zetu mpya comfortably.

Na karibisha maoni yenu kwa hoja siyo kwa jazba

Barbarosa GENTAMYCINE @hihodaya Wakudadavuwa Lizaboni
sikujua kama wewe ni kichwa maji kiasi hiki. hivi urefu wa ndege kumbe unapimwa na picha/? hivi huyo Hashimu huwa apandi gari.... taka taka kama nyie ni waku puuza...
 
sikujua kama wewe ni kichwa maji kiasi hiki. hivi urefu wa ndege kumbe unapimwa na picha/? hivi huyo Hashimu huwa apandi gari.... taka taka kama nyie ni waku puuza...
jibu hoja acha jazba. Bora tungenunua Airbus A380
 
View attachment 410545 View attachment 410372 Mzuka wanaJamvi!

Ni mtazamo wangu tu. Tuseme kwa mfano Hashim Thabit akipanda hizi ndege zetu mpya Bombardier alivyomrefu halafu kakata siti ya nyuma kabisa na pakuingilia na kutoka ni mlango wa mbele si atapata shida sana. Kwasabab hizi ndege ziko chini sana ukilinganisha na zile Boeing za 80s. Yani itakuwa mwendo wa kuinama tu hadi ufikie siti yako hoi mgongo unauma.

Serekali ingalia hili kwa jicho la tatu Kwasabab ni kuwabagua watu warefu na kuwanyima fursa nao kupanda hizi ndege zetu mpya comfortably.

Na karibisha maoni yenu kwa hoja siyo kwa jazba

Barbarosa GENTAMYCINE @hihodaya Wakudadavuwa Lizaboni
Binafsi sikuelewi kabisa lengo lako ni nini? Kama hizo ndege mtu mrefu uliemutolea mfano hapo juu Hawezi kupanda hizo ndege je yeye kila siku huwa anatembea kwa miguu? Naomba utueleze Gari ndogo huwa hapandi? Kwa kifupi inabidi aende kiwandani kutengenezesha inayomfaa.
 
Urefu hakuna shida,ila unene ndiyo tatizo..,Kama yule marehemu aliyeshindwa kusafirishwa kwenda India kwa matibabu na kufariki...
Ubarikiwe mkuu
Namie nimekumbuka aisee,yulle jamaa alikufa na kila Shirika la Ndege tena ndege Kubwa kama Emirates,na wenzie wakashindwa kumchukua kwa Unene.

Urefu sio shida,hata Obama kwenye ndege yake akiingia huwa anainamana.
Seats Level ni sawa,maana kama Space ya Hammer la hashim lilivyo basi ni sawa na kwenye ndege tu.
Unajua picha ya ndege na space haipimwi kwa kuliona kuuubwa.Maana inaweza kuwa ndege kubwa lakini space kubwa chini ikawa ya mazigo.

Angalau hoja ingekuwa uwezo wa kuchukua Mzigo mkubwa hapo ndio naona kuna mashiko.Na hapa serilali ingejibu kwamba kwa mizigo mikubwa tuna Option ya Luxury Train kama option.
 
malizia tuu unachotaka kusema mkuu

Hana lolote la msaada atakalomalizia zaidi ya kebehi tu.Kwa kawaida taifa letu wananchi wengi ni wenye urefu wa wastani na ni wachache mno wenye urefu wa Thabit.Ikitokea kwa abiria mmoja mrefu na mara chache sana akawa abiria wa ndege hizo na kuinama mlangoni na hata ikibidi hadi kwenye kiti hilo halitakuwa jambo la ajabu sana.Wamarekani nao ni warefu hivyo hivyo Wanyarwanda na mataifa hayo yanamiliki hizo ndege pia.Tulikuwa hatuna ndege kama taifa akili ya kawaida itakuelekeza kuanza na za bei rahisi na zinazotumia mafuta kidogo kwa safari zake.Hivyo kuweka mlinganisho wa ndege za boeing tulizowahi kuzimiliki miaka ya 80 na hizi bombadier tulizonunua mwaka huu ni muendelezo ule ule wa bezo na kebehi.Huu ni mwanzo mzuri na wa kutolea sifa shirika likiimarika watanunua hizo mnazoshadadia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom