Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,553
- 9,530
Yamaha
Dugati
Kawasaki
Ngoja nipite kimyakimya maana watakaochangia ubora wa vyombo tajwa ni madereva bodaboda,angalizo tu pikipiki zote hizo mchina na zinaingiliana spare parts kwa asilimia kubwa hayo majina ni mbwembwe tuTwende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu
Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini (based katika matumizi binafsi)
Tuko na boxer ,SANLG , feckon ,TVs king , Hero , na king Lion ....?
Mkuu Umetaja Piki piki Nyingi tuu kama Boxer,Fekon,Sanlg,TVS,nkTwende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu
Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini (based katika matumizi binafsi)
Tuko na boxer ,SANLG , feckon ,TVs king , Hero , na king Lion ....?
Hapana Mkuu,Sio kabisa,Labda Niseme hivi,Tunqpenda Kusifia na Kusema Ukweli,mfano Pia Mimi ni Mshabiki wa Scania,sipendi ma you tong!Co Tangazo la biashara hili brow
Kwahyo kama. Wew uko naratba ya kununua pikpk ungenunua hiyo Houjo ?Hapana Mkuu,Sio kabisa,Labda Niseme hivi,Tunqpenda Kusifia na Kusema Ukweli,mfano Pia Mimi ni Mshabiki wa Scania,sipendi ma you tong!
Sasa hapa nafanya tena Biashara?
Biashara huwa na Bei,Venue inakopatikana Bidhaa,Specification,sasa Mimi hata CC sijui,ina uwezo gani sijui/sijaweka,Labda ningekuwa Dealer Tanzania Nzima na Hakuna Mwingine,lakini Mapikipiki yako Meeeengi sana Mkuu,Ndo Maana unaona hata Picha sijaweka,hata Jina Sijui kama nimelipatia!
Mkuu inategemea na Kazi unayotaka kufanya na Eneo ulipo, Kama upo Dar,na Unataka kwa ajili ya Biashara nunua Boxer,ila Kama upo Mikoani na Unataka Pikipiki "multipurpose"Kwahyo kama.wew uko naratba ya kununua pikpk ungenunua hiyo Houjo ?
(Na unanishauri ipi?)
Sawa na asnt kwa mimi niko MTWARA na matumizi yangu ni binafsi kwa kiac kikubwa kwakuwa nahtaji ya kwaajili yakuendea kazi tuu na mizunguko isiyo zid km30 kwa sikuMkuu inategemea na Kazi unayotaka kufanya na Eneo ulipo,
Kama upo Dar,na Unataka kwa ajili ya Biashara nunua Boxer,ila Kama upo Mikoani na Unataka Pikipiki "multipurpose"
Yaani inayoweza kufanya Kazi Zaidi ya moja,yaani Abiria,mizigo,route za mbali Nunue Hoaujue yaani Haujue...utadumu nayo Muda Mrefu,itapiga Kazi sana, na Ni Imara na Bei yake iko juu kidogo nasikia,sina uhakika,ILA kama ni Dar,sababu watu/abiria wengi wa Dar wanapenda Boxer,
Chaguo ni lako!
Waendesha Pikipiki wanaijua we we waulize tuu mtaani au kwenye Vijiwe watakuambia!
Hapa Tumekupa Mwanga tuu,mengine utamaliza Mwenyewe!
Hiki chombo kipindi niko chuo tulikua tunaunga watu mpaka wanne kuelekea lecture.Yamaha Crux