ivunya
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 2,286
- 2,198
Tangu DANGOTE kasitisha uzalishaji wa cement Kuna uhaba mkubwa sana wa upatikani wa cement na kutatiza shughuli za maendeleo. Cement zingine zimepanda kwa Ghafla na kufikia 12000 kwa bei ya jana hapa lindi ya twiga cement. Na leo hii cement hakuna kabisa uko mjini, ujenzi umesimama. Tumesahau kununua cement elf 15 imeshuka mpaka elf 10, 11 msiturudishe uko.
Serikali kaeni chini na huyu tajiri mmalize tofauti zenu katoa ajira nyingi kwa watanzania na cement yake imekuwa tagemeo kubwa kwa nchi yetu. Kuna figisu figisu nyingi sana kwa hiki kiwanda Nchi hii sera ya viwanda, viwanda vilivyopo vinafungwa sijui tunatoka wapi tunaelekea wapi.
Mwenye kujuwa chazo cha mgogoro mtujuze. Au ndo Yale Yale makaa ya mawe ya mbeya hayana ubora serikali inalizimisha wayatumia tu.
Wa mikoa mingine upatikani wa cement ukoje na bei.
Serikali kaeni chini na huyu tajiri mmalize tofauti zenu katoa ajira nyingi kwa watanzania na cement yake imekuwa tagemeo kubwa kwa nchi yetu. Kuna figisu figisu nyingi sana kwa hiki kiwanda Nchi hii sera ya viwanda, viwanda vilivyopo vinafungwa sijui tunatoka wapi tunaelekea wapi.
Mwenye kujuwa chazo cha mgogoro mtujuze. Au ndo Yale Yale makaa ya mawe ya mbeya hayana ubora serikali inalizimisha wayatumia tu.
Wa mikoa mingine upatikani wa cement ukoje na bei.