kuna wakati nilikuwa nalazimika kuitizama kwa kuwa king'amuzi uchwara hakidaki local chanels kama STAR TIMES na ITV, lakin bora kusimuliwa habari kesho yake na waliongalia channel nyngn...TBC uozo tu
watu wajasiri ni wachache sana..hata angekuwa na CV ya namna gani cha muhimu zaidi ni kuwa jasiri kutetea ukweli, huyu waziri wetu naona ana ujasiri wa kukabiliana na kamati za bunge tu nje, anakwepa! Huwezi kuzungumzia mambo mengine wakati watu wanateseka..WASOMI WENGI TANZANIA NI WATUMWA KWA...
Hivi kijana anayeipenda ccm kwa wakati huu anazo sababu zipi?
tofauti na hawa walioajiriwa na chama, au wenye kutaka kutumia njia ya chama kupata madaraka?
naombeni sababu nyinginezi za kuipenda ccm
ndo shida ya watu waliopita shule na kakariri vitabu alaf wanadhani wameelimika..kazi yao kubwa inakuwa kuj-criticize kila kitu sabau hawaelewi..maandamano muhimu sana kwa wasomi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.