What the hell is this. Kumpeleka mwanao shule ni jambo zuri sana. Hizi vurugu za maandamano kila siku zinatokana na watu kukosa shule ya kutosha. Mbowe, tunakuheshimu sana, usiwe chanzo cha kuleta machafuko hapa nchini.
Uasi tena! Mbowe sasa mhaini! Shauri yako utakula kitanzi!
akihutubia katika uwanja wa barafu dodoma, mwenyekiti wa chama cha cdm amesema atakuwa muasi wa kwanza Tanzania kwa kile alichodai kuonewa na serikali ya ccm kufuatia kitendo cha kucharangwa mapanga kwa wabunge wawili wa cdm mbele ya askari polisi waliokuwa na smg!
What the hell is this. Kumpeleka mwanao shule ni jambo zuri sana. Hizi vurugu za maandamano kila siku zinatokana na watu kukosa shule ya kutosha. Mbowe, tunakuheshimu sana, usiwe chanzo cha kuleta machafuko hapa nchini.