Dr. Slaa: Mafisadi hawana nafasi CHADEMA

Dr. Slaa: Mafisadi hawana nafasi CHADEMA

namshangaa anapataje nguvu ya kuongelea ufisadi wakati yeye ana tuhuma kibao zinamkabili ndani na nje ya chama chake. Angetumia muda wake mwingi kudeal na hizo tuhuma badala ya kuanza kuwanyooshea wengine vidole. Btw, yeye ana pakukimbilia cdm ikifa, je nyie maficha nyuso zenu wapi?? Soon we will be singing the same song, kidumu chama cha mapinduzi!!!

kigumuuu.
 
Namshangaa anapataje nguvu ya kuongelea ufisadi wakati yeye ana tuhuma kibao zinamkabili ndani na nje ya chama chake. Angetumia muda wake mwingi kudeal na hizo tuhuma badala ya kuanza kuwanyooshea wengine vidole. BTW, yeye ana pakukimbilia CDM ikifa, je nyie maficha nyuso zenu wapi?? Soon we will be singing the same song, kidumu chama cha mapinduzi!!!

Tuhuma kibao kama zipi?au ni hizo za kufikirika kwa kutunga?ebu tuwekee tuhuma nne tu kati ya hizo tuhuma kibao
 
Huyu mzee hanaga jipya zaidi ya kuongelea mafisadi??
Ni lazima aongelee hilo maana ni janga kubwa linalolitafuna taifa letu. Mbona unajisikia vibaya kusikia mtu akiukemea ufisani? Au anapofanya hivyo anakugusa wewe kwa sehemu fulani? Lazima aendelee kuongea mpaka tatizo litakapotokomezwa.
 
[h=3]CHADEMA IS STILL THE POISON I CHOOSE![/h]

Nimeichomoa hii toka blogu moja :
No One Left Behind-Tanzania: CHADEMA IS STILL THE POISON I CHOOSE!
“When I think of Uhuru, I remember Nyerere, not TANU. I remember his personal attributes rather than his party’s ideologies. Parties are made up of people, with their imperfections. An ideal party would give you that ‘rainbow effect’ where you don’t necessarily like the yellow and the violet, but you absolutely love the rainbow as a whole. Sadly in politics, the whole is never better or greater than the sum of its parts. It is not like in soccer where much as I love Wayne Rooney, his hat trick doesn't mean a thing if it didn't get Man Utd a win. My team is greater than Paul Ince, Eric Cantona, Ruud Van Nistelrooy, David Beckham or Cristiano Ronaldo. It has survived because it has not tolerated individuals' imperfections when they were a threat to group/team interest.
[h=5]
Politics is a game of mazimwi where the best you are hoping for is that the Zimwi you like is the best of the bunch. It’s like you having to die and you have to choose between the rope, the gun, the syringe, and the electric chair. You will ultimately pick a method, and it will be the one you think is the least painful of all the options you have. What’s important in such a situation is to acknowledge that you are screwed, choose your poison carefully, and let it kill you as you wished.
[/h][h=5]
[/h]
[h=5]

1. Political change can only be brought by a great, visionary leader, a Nyerere figure… not a political party
[/h][h=5]
2. Party politics suck! But hey! What can we do about it? There is not quitting, its just how things are… Friends can’t keep saying they ‘DON’T’ HAVE’ a political party!! It’s a big lie
[/h][h=5]
3. There is still hope that that great leader will come – and through a political party
[/h][h=5]
4. People do not pick figs from thornbushes, or grapes from briers… Expect nothing good from a party that has completely lost its way…
[/h][h=5]
5. As it stands, judging by ideological framework, CHADEMA is the one political party that can bring forth another Nyerere…

I am disturbed by the recent turn of events, even disappointed… BUT… CHADEMA IS STILL THE POISON I CHOOSE! <
L> … But I just fail to compare them with the others.[/h][h=5] [/h][h=5]Then he goes: [/h][h=5]
[/h][h=5]We don't have to wait for RTD to tell us what transpired.. why hear it from a secondary source while you can hear it first hand?? Transparency means all undertakings happen in broad daylight for the citizen to see and judge... This whole saga may reveal something we all didn't know about Slaa, or Zitto or Mbowe.. Something we would not have known if the guys who took to social media had decided to go the formal way instead.. and if their claims are any correct, wangesikilizwa kweli???[/h][h=5] [/h][h=5]CCM would try to bury this story..they are always after saving their image and the image of the politicians involved... not how Chadema should operate.. Politics is practiced before the public, not in boardroom meetings... Let the public witness what’s going on, eventually we won’t expel anybody.. the party will still make its decision, but at least by then they will be fully knowledgeable of our feelings on the whole saga...”[/h][h=5] [/h][h=5]What do you think?[/h]
 
huyu mzee mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, mbaya kwa ccm sasa wanapumulia machine baada ya mbinu zao kukiua chama kabla ya 2015 kudakwa, zikiongozwa na naibu katibu mkuu ZZK. kumbe alikuwa anataka madarka makubwa kwenye chama ili akiue kwa amani kumbe wenye akili zao wakagundua mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. pole zito ufwile now
 
Namshangaa anapataje nguvu ya kuongelea ufisadi wakati yeye ana tuhuma kibao zinamkabili ndani na nje ya chama chake. Angetumia muda wake mwingi kudeal na hizo tuhuma badala ya kuanza kuwanyooshea wengine vidole. BTW, yeye ana pakukimbilia CDM ikifa, je nyie maficha nyuso zenu wapi?? Soon we will be singing the same song, kidumu chama cha mapinduzi!!!
sasa kama nyie wenye polisi,takukuru na mahakama munatueleza kuhusu tuhuma za Dr. Slaa bila kumkamata au kum chukulia hatua unataka sisi tuamini lipi kama sio kuona kuwa ni kiwewe mlichonacho juu yake.Waambie tu mafisadi wenzio waanze kutafuta mahali pa kukimbilia 2015 maana ni weka ugoko niweke chuma ya m4c ndiyo itakuwa ni habari ya mjini.......viazi wakubwa nyie
 
Aisee huyu dr amewashika pabaya mafisadi. Ccm wangejua jinsi huyu mzee anavyopendwa huku mtaani msingekaa ofisini. Watanzania wana hamu ya mabadiliko.
 
Back
Top Bottom