Hakika nimekubali Nape ameanzaa kupoteza mwelekeo kisiasa baada ya yeye jana kusisitiza kuwa katibu mkuu wa CHADEMA ahojiwe na vyombo vya usalama kwa taarifa aliyotoa kwa vyombo vya habari kuwa CCM inaingiza silaha kwa ajili ya kudhuru viongozi wa CHADEMA na kwamba uzee unamsumbu kiongozi huyu awachie vijana kazi hiyo ya ukatibu mkuu. matarajio ni kuwa Nape baada ya kupewa taarifa kuwa mgombea wa chama cha Igunga Dr. Kafumu kavuliwa ubunge na mahakama na moja ya hoja mahakama iliyojiridhisha nayo na kumuengua Dr. Kafumu ni taarifa alizokuwa akitoa katika kampeni Katibu wake Mkuu Wilson Mukama kuwa Chadema kilileta makomandoo kuleta vurugu katika uchaguzi wa Igunga.
Nape atumie ujana wake kwa busara kuagiza vyombo nya usalama kumhoji Wilson Mukama na kumfikisha makamani kwa udhibitisho ambao tayari mahakama imejirisha nao na kupelekea chama chake kushindwa mahakamani kama sehemu ya uchochezi na propaganda zenye kuhatarisha amani na usalama wa wananchi ambayo CCM imeilinda tangu tupate uhuru.
Pia atumie nafasi yake ya ukijana kuwapiga marufuku wazee ambao wamefanya chama chake kushindwa mahakamani kama akina Benjamen, Makufuli, Tyson n.k. na yeye awaeleze kuwa hatakubali tena kukatazwa kushiriki kwenye kampeni za chama chake kwa maagizo ya mafisadi, makundi na wazee waliowakosesha ushindi mahakamani na kuwa wazee si lolote si chochote kama aliyo katibu mkuu wa CHADEMA kwa kuwa wamezeeka.
Akumbuke ya Arumeru Mashariki yanakuja mengi CCM wanaendelea na kujenga mnara wa Babeli kweli kwa lugha hizi za kutofautiana.
Mimi ndio Amri Jeshi Mkuu sijaliambia jeshi lijiandae kwa vita na Malawi, Membe tupo tayari na tumezipiga marufuku ndege zao, EL jeshi lipo tayari kwa vita, serikali moja kweli!?
Nape atumie ujana wake kwa busara kuagiza vyombo nya usalama kumhoji Wilson Mukama na kumfikisha makamani kwa udhibitisho ambao tayari mahakama imejirisha nao na kupelekea chama chake kushindwa mahakamani kama sehemu ya uchochezi na propaganda zenye kuhatarisha amani na usalama wa wananchi ambayo CCM imeilinda tangu tupate uhuru.
Pia atumie nafasi yake ya ukijana kuwapiga marufuku wazee ambao wamefanya chama chake kushindwa mahakamani kama akina Benjamen, Makufuli, Tyson n.k. na yeye awaeleze kuwa hatakubali tena kukatazwa kushiriki kwenye kampeni za chama chake kwa maagizo ya mafisadi, makundi na wazee waliowakosesha ushindi mahakamani na kuwa wazee si lolote si chochote kama aliyo katibu mkuu wa CHADEMA kwa kuwa wamezeeka.
Akumbuke ya Arumeru Mashariki yanakuja mengi CCM wanaendelea na kujenga mnara wa Babeli kweli kwa lugha hizi za kutofautiana.
Mimi ndio Amri Jeshi Mkuu sijaliambia jeshi lijiandae kwa vita na Malawi, Membe tupo tayari na tumezipiga marufuku ndege zao, EL jeshi lipo tayari kwa vita, serikali moja kweli!?