Ripoti ya Sumu North Mara: Waziri wa Nishati Prof. Muhongo Ajifunua Rangi yake Halisi

Huu ni uchochezi.tabia ya chuki chuki na kulalamika sio nzuri kwa taifa.muhongo hana hata mwezi mmoja ofisini mmeanza kuleta fyoko fyoko hapa.acheni muhongo afanye kazi siasa zenu kafanyieni huko huko
 
Muhongo ni muongo Kama jina lake kishanogewa vx v8 ya bure

umetoka usingizini nini mkuu.mbona comment yako haiendani na content ya thred,au umeangalia tu trend ya wenzako nawe ukadandia key board bila kutafakari
 
Mwita..Nimekupata vizuri sana kwa taarifa yako miamba inatofautiana sana sana...ndio maana migodi mingine kuna underground na mingine huwezi kuweka underground kuna migodi mingie dhahabu ipo juu sana na mingine iko chini sana na level ya kati hii yote inategemea na aina ya miamba my kaka Miamba ilioko North Mara huwezi kuilinganisha na migodi mingine katika natural acidic level... Kerende Village ni wachimbaji wadogo wanaotumia mecury katika kukamata dhahabu but acid iliopo pale inatisha kaka na hii yote inaelekea ktk Mto Mara.... Sawa Mgodi umehusika but Chanzo ni waathirika wenyewe... kaka huwezi ukakata tawi la mti uliolikalia then baada ya kuanguka umlalamikie mwenye mti hahaha...think about it...Kaka huyu ni mwekezaji ambaye serikali imekubali kufanya nae biashara inapaswa wamlinde...now Mazulia yamewekwa mapya na POLISI wanalinda ktk hizo ponds mbona hakuna kesi ya mazulia tena.... so serikali ilpaswa kufanya kitu from the beging broo.... hope umenisoma
mayere sidhani kama unaelewa tunachozungumzia hapa. Unataka tukuamini kwamba miamba ya Nyamongo ni ya kipekee, haifanani na miamba iliyoko Buzwagi, Bulyanhulu, Geita na kwingineko? Kwaqmba miamba ya Nyamongo pekee ndiyo yenye sumu? You must be joking my friend!
Hii dhana kwamba wanakijiji wanaiba majamvi ya kuzuia sumu ni potofu inayotumiwa na watu wa barrick kukwepa uwajibikaji wala haina ukweli wowote. Unaweza kutuambia kwanini walimficha/kumdanganya naibu waziri Kagasheki alipowatembelea kama unaamini kwamba wananchi ndio wenye matatizo?
Hata kama wananchi waliiba mazuria ya kuzuia sumu bado mgodi unawajibika kuzuia sumu isiingie mto Tighite.
 
mayere sidhani kama unaelewa tunachozungumzia hapa. Unataka tukuamini kwamba miamba ya Nyamongo ni ya kipekee, haifanani na miamba iliyoko Buzwagi, Bulyanhulu, Geita na kwingineko? Kwaqmba miamba ya Nyamongo pekee ndiyo yenye sumu? You must be joking my friend!
Hii dhana kwamba wanakijiji wanaiba majamvi ya kuzuia sumu ni potofu inayotumiwa na watu wa barrick kukwepa uwajibikaji wala haina ukweli wowote. Unaweza kutuambia kwanini walimficha/kumdanganya naibu waziri Kagasheki alipowatembelea kama unaamini kwamba wananchi ndio wenye matatizo?
Hata kama wananchi waliiba mazuria ya kuzuia sumu bado mgodi unawajibika kuzuia sumu isiingie mto Tighite.
Unakosea unapofananisha miamba ya sehemu tofauti za nchi....kumbuka kuwa miamba haiko "homogenous" na ingawaninaweza kuwa na madini ya thamani ya aina ile ile lakini rock formation inaweza kuwa tofauti sana. Mfano, miamba ya Nyamongo na maeneo mengi ya Tarime, yapo karibu sana na Bonde la Ufa, na maweneo hayo yanajulikana sana kwa kuwa na miamba mingi yenye uhusiano na matukio ya kivolkaniki...madini ya sulphur ni mengi kuliko sehemu yoyote Tanzania yanapopatikana madini ya dhahabu. Ni kutokana na utofauti huo wa miamba ndio maana hutaona hata siku moja uchenjuaji wa madini ukiwa unafanana kati ya mgodi mmoja na mwingine...hiyo yote ikizingatia kuwa japo zao ni moja lakini miamba inayobeba hilo zao, na chemical composition yake ni tofauti sana.

Hili swala likiangaliwa kisayansi zaidi litaokoa uhai na kupunguza madhara kwani kwa sasa focus ya wengi ni pale ulipoq mgodi na kupuuzia maeneo mengine ya Tarme ambapo watu wanaendelea kudhurika lakini hatuoni kwa vile tu eneo hilo halina mgodi.

Tuwe Objective (hilo limeshasemwa na wachangiaji kadhaa kabla yangu pia)
 
Last edited by a moderator:
mayere sidhani kama unaelewa tunachozungumzia hapa. Unataka tukuamini kwamba miamba ya Nyamongo ni ya kipekee, haifanani na miamba iliyoko Buzwagi, Bulyanhulu, Geita na kwingineko? Kwaqmba miamba ya Nyamongo pekee ndiyo yenye sumu? You must be joking my friend!
Hii dhana kwamba wanakijiji wanaiba majamvi ya kuzuia sumu ni potofu inayotumiwa na watu wa barrick kukwepa uwajibikaji wala haina ukweli wowote. Unaweza kutuambia kwanini walimficha/kumdanganya naibu waziri Kagasheki alipowatembelea kama unaamini kwamba wananchi ndio wenye matatizo?
Hata kama wananchi waliiba mazuria ya kuzuia sumu bado mgodi unawajibika kuzuia sumu isiingie mto Tighite.

MWITA MARANYA nakubalina nawe, huyo mdau mayere inaonyesha si mchambuzi wa mambo ya kisiasa na kiuchumi na ripoti mbalimbali zinazotolewa na watafiti mbalimbali.Mi nilifuatilia sakata kuanzia mwanzo enzi zile bwana job ndugai akiwa mwenyekiti wa kamati ya mali ardhi ,mali asili na mazingira walienda kule , na ripoti yao ilikuwa wazi kuwa kuna tatizo la uvujishaji wa sumu katika ardhi, na mitiririko ya mto tigite.na ndo kilichopelekea hata washauriwe kuweka hilo carpetna kuwasaidia kuwapelekea majiya dharula ya kunywa.Pia startv; dotto bulendu aliendesha utafiti na hivyo kuwa na makala, naye yalikuwa yaleyale ya kamati ya bunge.pia wakristo waliunda kamati na kuassign watafiti nao walikuja na ripoti kama hiyohiyo.mh .tundu lissu kabla ya kuwa mbunge, naye alijitupa kufanya utafiti na LEAT wakaja na ripoti kama za wengine.Kimsingi ungeangalia kabla ya kuwa na mgodi mkubwa hakukuwa na sumu kiasi hiki maisha yalikuwa shwari bila malalamiko.Ikumbukwe migodi mikubwa inafanya lobbying kubwa iliwasionekane wamesababisha madhara katika jamii hiyo.Ikumkukwe kuna migodi mimgi sana nchini yenye miamba mbalimbali , lakini madhra kwe ardhi huwa si kikubwa kiasi hicho.na mshangaa mayere anasahau kuwa asernic, cernide, cardium huwa ni sumu na inatumika sana kutengenishia dhahabu na miamba mingine.Kawanini isisababishe kuwa na sumu?tuache kutetea watanzania kuumia kwa kisingizio cha uwekezaji na pia si vyema kutetea kiburi cha pesa kukandamiza wanyonge.TANZANIA, inatakiwa iwe salama, wawekezaji wavune, na sisi watanzania tupate faida na si madhara
 
Kwani nyoka huzaa nini? Huyo prof si zao la CCM tu? Angekuwa ana mtazamo tofauti kweli angeukwaa huo uwaziri? Msilete za kuletwa hapa!

completely right, kwa kweli huwezi kumuamini mtu yeyote mwenye uhusiano na ccm halafu akiwa na mamlaka, wote wana mawazo yaleyale tu. THEY ALL ROTTEN AAAAAAAAAAARRRRRRRRRRRRGGGGGGGGGGGHHHHHHH!!!!!!!!!!
 
Ndugu zangu mayere na nanyaro imewaelewa sana maelezo yenu ya composition ya miamba. So far nafahamu mgodi wa Buly ndio underground, migodi mingine ya Buzwagi, North Mara, Tulawaka na Geita ni open pit.
Lakini jambo ambalo hatujaelewana ni chanzo cha hizo sumu na njia zinazopitia hadi kuwafikia wananchi. Kinachotokea north mara si sababu ya rock composition bali ni namna ya kudhibiti hizo chemicals.
Ripoti mbalimbali kuanzia kamati za bunge, startv, kamati ya pamoja ya dini za kikristo na kiislamu pamoja na chuo kikuu cha Dsm zimeonyesha wazi wazi jinsi mgodi w north mara ulivyotiririsha sumu kuingia mto tigite ambao unategemewa na kutumiwa na wananchi wengi sana wa maeneo ya jirani na mgodi pamoja na maeneo yote unakopita mto tigite.
Hatuwezi kunyamaza tuwaache barrick ambao ni chanzo cha uvujaji wa sumu kwa kisingizio cha wananchi kuiba mazuria, huku tukifumbia macho uhai wa maelfu ya watu katika vijiji vya jirani.
Na hata kama tukikubaliana na hii dhana ya uongo kwamba wananchi waliiba mazuria, je ni wananchi wote wa vijiji vyote vya jirani walishirikiana kuiba mzuria hayo?
Mtanzania yeyote anayetetea huu ushenzi wa barrick atakuwa na kiwango cha juu cha ''irresponsibility'' kwa nchi yake na watanzania wenzake.
 
Last edited by a moderator:
watu wajasiri ni wachache sana..hata angekuwa na CV ya namna gani cha muhimu zaidi ni kuwa jasiri kutetea ukweli, huyu waziri wetu naona ana ujasiri wa kukabiliana na kamati za bunge tu nje, anakwepa! Huwezi kuzungumzia mambo mengine wakati watu wanateseka..WASOMI WENGI TANZANIA NI WATUMWA KWA WAGENI
 
Being a new and not politician is not excuss for not dealing with matter, he should look the toxic from ****** downward and propose new way of mining which is less toxic to the environment and communities as whole. That what will benefit these communities.

dah..... umenisaidia kumjib huyo Falani maana jibu lng kwke lazma lingenipa ban
 
Watanzania wote ni ndugu, lakini mh.waziri nafikiri hawa wa mara ni ndugu zake zaidi. kwanini hataki kusikia habari zao!
 
Back
Top Bottom