Recent content by George johnson

  1. George johnson

    Series (Special thread)

    Shukran sana
  2. George johnson

    Series (Special thread)

    Mkuu nisaidie site nzur ya kushusha series, nimetumu sana telegram na movie box ila now naona zinazingua sana
  3. George johnson

    Natafuta mwenza

    Kila mmoja awe na watoto ,hii safi kwa ufupi watoto mnachanga then mnatoana upweke tu
  4. George johnson

    Habari za jioni

    Nilipotea muda mrefu hapa baada ya kupata shida ya kulog in , ila now nimefanikiwa baada ya ku reset password
  5. George johnson

    THE BOYS: Moja ya series zinazohitaji kujitoa akili na ufahamu ili kuiangalia. Bila hivyo haifai hata kidogo (18+)

    Wee jamaaa ni mimi kabisaaaa😀😀😀. ,mtu ana gari halielewek na linapaaa
  6. George johnson

    Siku ikitokea tamthilia kali na nzuri kuliko Prison Break naomba mnishtue

    Kwa waanzaji wa kutazama series, bas prison break & lost ndo nzur kuanza nazo
  7. George johnson

    Je! Kilevi kinatuweka HURU kusema hisia zetu? Ziwe Chanya au Hasi?

    Aaaaah wengne wanachangamka tu, aibu inaondoka ghafla Sent using Jamii Forums mobile app
  8. George johnson

    Gharama za mazishi yanatia stress familia

    Daaaah asante sana! Ndio mana hadi Leo bado nawaza nitaanzaje kuoa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. George johnson

    Makonda na Makamba nini kinaendelea?

    [emoji23] [emoji23] [emoji38] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. George johnson

    Dalili 10 za Mwanaume asiye na pesa kwa mpenzi wake

    Kamati ya roho mbaya hyo Sent using Jamii Forums mobile app
  11. George johnson

    Tubadilike, si vizuri kulala na mkeo kitanda kimoja kama si siku maalum

    Watu wengine sijui huwa wanawaza nin Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom