FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Na wewe huwa nao saa zote huko ufipa?Nauliza tu wadau maana naona hata wakikutana hawasalimiani? Kila mmoja anajifanya busy na yake.
Kuna nini?
Na wewe huwa nao saa zote huko ufipa?Nauliza tu wadau maana naona hata wakikutana hawasalimiani? Kila mmoja anajifanya busy na yake.
Kuna nini?
Makamba anasema naomba wazazi wana familia msisikitite wala kulipa visasi kwa kwa hili lilotokea, ukiwa mzee wa code basi tayali unawaza yaliyomo nyumba ya pazia
Mdomoni mwake hamna zaidi ya, hyu mtukufu tulieletewa na mungu katujengea flaiova, stigilazi goji, yaan mpk wale wanaopinga pinga wamekuja hapa kumuaga ruge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makamba anasema naomba wazazi wana familia msisikitite wala kulipa visasi kwa kwa hili lilotokea
Ufipka = Ufipatayali= tayari
Safari hii ufipka sijui wamewatoa wapi?
Alikuwa anahangaika sana na ule msafara,sijui ule msafara ulikuwa unamhusu vipi!!makonda/bashite ni kijana mdogo na mgeni sana hapa mjini . kwa upumbavu wake alijikuta jana anaongoza magari bila kujua kuwa ile haikuwa kazi yake! kwa vyovyote hakuwa na lakusema pale diamond! aseme nini nae ndiyo aliyemua ruge? tangu wapeane mikono kule Tanga ruge hajaonekana.
KUONGOZA MAGARI HAKUFUTI UKWELI WOWOTE KWAMBA YYE NDO KAMUA RUGE
alafu nilimsikia Kusaga akifanya utambuzi maalum tena (special recognition) kwa bashite tena hapo ni baada ya kuwa ametambua uwepo wa JPM, Waziri Mkuu, Jk...nikajiuliza hizo salam maalum kwa Bashite hazina ujumbe uliojificha kwel?!
u maalum huo kwa bashite ktk tukio lile ni nini hasa aliomaanisha kusaga?!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mada imekaa kimbea mbea hivi....au mimi ndo sijailewa
Mada za-kina warumi hizi
Kwanin Mmchukie Kijana mwenzenu kiasi Hicho?? Wivu? Uzembe wa Kufikiri?? Hulka za kike? Au maovu yenu anayopambana nayo (Ngada na Shisha). Anyway hizi ni dalili mbaya kwa mwanaume labda kama wewe ni ke, ulitaka uke wenza!Pale mkuu ni saikoloji imetumika... Maana kiitifaki alitakiwa awepo kwenye mtiririko wa utambuzi.... Lakini yy baada ya utambuzi akajifanya Kama kamsahau then akampa special recognition kwake.. Kwa sababu anazozijua yy... Pia kwenye speech ya January makamba kammaliza Kabisa jamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Koya mamalamaku....Kwanin Mmchukie Kijana mwenzenu kiasi Hicho?? Wivu? Uzembe wa Kufikiri?? Hulka za kike? Au maovu yenu anayopambana nayo (Ngada na Shisha). Anyway hizi ni dalili mbaya kwa mwanaume labda kama wewe ni ke, ulitaka uke wenza!
Sio tishio kwny stage za mwanzoni ila siku za mwisho huo ugonjwa unakutaitisha mpaka gharama za matibabu zinafikia 5m kwa siku!Chief unaishi dunia ya ngapi!? Siku hizi huo ugonjwa si tishio tena hasa kwa watu wenye pesa zao!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mission imekamilikaalafu nilimsikia Kusaga akifanya utambuzi maalum tena (special recognition) kwa bashite tena hapo ni baada ya kuwa ametambua uwepo wa JPM, Waziri Mkuu, Jk...nikajiuliza hizo salam maalum kwa Bashite hazina ujumbe uliojificha kwel?!
u maalum huo kwa bashite ktk tukio lile ni nini hasa aliomaanisha kusaga?!.
Sent using Jamii Forums mobile app
ulipofika mda wa yeye niongee,nilihamisha stesheni nyingineHivi huyu Zuzu amepewa nafasi ya kuongea pale Karimjee? Au nafasi yake imefutwa kwenye ratiba?