Makonda na Makamba nini kinaendelea?

Makonda na Makamba nini kinaendelea?

Makamba anasema naomba wazazi wana familia msisikitite wala kulipa visasi kwa kwa hili lilotokea, ukiwa mzee wa code basi tayali unawaza yaliyomo nyumba ya pazia
tayali = tayari

Safari hii ufipa sijui wamewatoa wapi?
 
Makamba anasema naomba wazazi wana familia msisikitite wala kulipa visasi kwa kwa hili lilotokea

JMakamba kasema hayo, tena mbele ya kadamnasi?
"---naomba wazazi, wanafamilia msisikitike, wala kulipa visasi kwa hili lililotokea" ?

Haya maneno yametamkwa; tena mbele ya viongozi wakuu?
Hizi ni dalili za mambo yanayofukuta chini kwa chini, yakielekea kububujika. Watu woga umeanza kuwaisha. Mika mitatu ya woga hatimae imetufikisha hapa. Ukiona akina Bashe wanafyatuka, elewa tunasogelea 'defiance.' Come what may, potelea mbali!

Mkuu 'utandu', ni kweli haya yamesemwa? Halafu huyo aliyeyatamka kajitangaza alikuwa 'msiri' wa marehemu?
 
makonda/bashite ni kijana mdogo na mgeni sana hapa mjini . kwa upumbavu wake alijikuta jana anaongoza magari bila kujua kuwa ile haikuwa kazi yake! kwa vyovyote hakuwa na lakusema pale diamond! aseme nini nae ndiyo aliyemua ruge? tangu wapeane mikono kule Tanga ruge hajaonekana.
KUONGOZA MAGARI HAKUFUTI UKWELI WOWOTE KWAMBA YYE NDO KAMUA RUGE
Alikuwa anahangaika sana na ule msafara,sijui ule msafara ulikuwa unamhusu vipi!!
Alafu akishuka,macho na akili alielekeza kwenye camera zilizokuwa zikifatilia tukio
 
alafu nilimsikia Kusaga akifanya utambuzi maalum tena (special recognition) kwa bashite tena hapo ni baada ya kuwa ametambua uwepo wa JPM, Waziri Mkuu, Jk...nikajiuliza hizo salam maalum kwa Bashite hazina ujumbe uliojificha kwel?!

u maalum huo kwa bashite ktk tukio lile ni nini hasa aliomaanisha kusaga?!.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ina wezekana wote wapo kwenye mpango mmoja ,mtizame sana anae Lia sana Msibani.
 
Pale mkuu ni saikoloji imetumika... Maana kiitifaki alitakiwa awepo kwenye mtiririko wa utambuzi.... Lakini yy baada ya utambuzi akajifanya Kama kamsahau then akampa special recognition kwake.. Kwa sababu anazozijua yy... Pia kwenye speech ya January makamba kammaliza Kabisa jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanin Mmchukie Kijana mwenzenu kiasi Hicho?? Wivu? Uzembe wa Kufikiri?? Hulka za kike? Au maovu yenu anayopambana nayo (Ngada na Shisha). Anyway hizi ni dalili mbaya kwa mwanaume labda kama wewe ni ke, ulitaka uke wenza!
 
alafu nilimsikia Kusaga akifanya utambuzi maalum tena (special recognition) kwa bashite tena hapo ni baada ya kuwa ametambua uwepo wa JPM, Waziri Mkuu, Jk...nikajiuliza hizo salam maalum kwa Bashite hazina ujumbe uliojificha kwel?!

u maalum huo kwa bashite ktk tukio lile ni nini hasa aliomaanisha kusaga?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mission imekamilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom