I am a boy aged 28 years old. I am a graduate of BSc. Eco- tourism and Nature Conservation.
I am looking for a women who is ready to be a wife. The following is the qualifications for the lady am looking for;
I. She should posses at least diploma or degree.
II. She should be a christian
III...
Ujapona tu akili kijana? Tafuta mada zenye mashiko na sio kutupotezea muda wetu kusoma habari zisizo na mashiko. Nchi ina mambo mengi sana ya kujadili na sio propaganda.
Ujapona tu akili kijana? Tafuta mada zenye mashiko na sio kutupotezea muda wetu kusoma habari zisizo na mashiko. Nchi ina mambo mengi sana ya kujadili na sio propaganda.
Acha ukilaza wewe. Umejifanya kuwa mahakamae? Unapaswa kufahamu vyema siasa za Tanzania. Pia ni vyema ukatafakari vyema juu ya swala la Technology. Tuiache mahakama iamue na sio kuingilia uhuru wa mahaka.
Nawashauri watanzania wenzangu, vyo vya usalama pamoja na serikali kwa ujumla. Nnchi hii mnapotaka kuipeleka mtajuta. Nawashauri wote kwa pamoja turudishe mioyo yetu nyuma na kutafakari juu ya hatma ya taifa letu na vizazi vijavyo. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Afrika.
Kijana uwe unaangalia post zako unazoweka hapa. Nahisi unatakiwa ukapimwe akili. Watanzania si mambumbu tena. Unataka tufumbie macho huo uozo unaoendelea? Kazi ya vyama vya upinzani ni kuikosoa, kuishauri na kuisimamia serikali. Na hicho ndicho kinachofanyika. Au ulitaka walale?
Kaka sijawahi kukwambia neno lolote la kejeli bt kwa hili umechemsha. Umaarufu hauji bure. Wewe ndie uce na uzalendo ndio maana ukatusaliti watanzania. Ebu muache raisi wetu wa baadae. Kipi ulichokifanya wewe hadi tukuone mzalendo. Namashaka na fikra zako.
Shule za kata na hata kusoma vyuo vya ndani sio kigezo au sifa ya mtu kuwa rais wa taifa hili. Jipange vizuri kaka. Nenda bagamoyo chuo cha uongozi ukajifunze siasa kwanza then ndo ujipange upya kwa safari yako ya kisiasa coz bado una mapungufu mengi sanaaaaaaaaaaaaaaa. Kufukuzwa kwako CDM...
Ni muda kidogo sasa kupitia vyombo mbalimbali vya habari tumeona au kusikia kile kinachoelezwa kuwa ni fedha zinazotumiwa na CCM ili kuvizoofisha vyama vya upinzani. Hii sio demokrasia hata kidogo. Nchi yoyote inayotaka maendeleo inahitaji kuwepo wapinzani imara kwani huisaidia serikali kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.