CHADEMA waliposhinda uchaguzi: Pinda

CHADEMA waliposhinda uchaguzi: Pinda

JK n lipumba wana weza kulidadavua hili swala vizuri tu! na hii si siri tena, na pia lewis anaweza kuliongelea sawia, tanzania nchi ya amani
 
Hah! Kumbe alitamka kabisa maneno hayo?

Katamka waziwazi na alipogundua ametoa siri ya serikali akaanza kujikanyaga. Ukiongeza na Lipumba alivyosema msikitini: 'nyie wenyewe mliokoa jahazi 2010' unapata picha nzima.
 
Mwanasheria kuropoka na kuvunja katiba ni utovu wa adabu katika medani ya sheria
 
Nanukuu:
"CHADEMA walipoingia madarakani...(akasita kidogo),
waliposhinda uchaguzi walisema nchi haitatawalika"

Ndicho nilichosikia, akinukuliwa na Star tv news jana usiku.
 
Nanukuu:
"CHADEMA walipoingia madarakani...(akasita kidogo),
waliposhinda uchaguzi walisema nchi haitatawalika"

Ndicho nilichosikia, akinukuliwa na Star tv news jana usiku.

Maneno kuntu kabisa kamanda.
 
Back
Top Bottom