Recent content by George Barran

  1. George Barran

    Hatimaye, leo mimi ndio nahitaji ushauri kwenu wanajamii

    Kama miezi miwili iliyopita nilikutana na binti wa kichaga hapa mtaani ninapoishi, tulifanikiwa kuanzisha mahusiano baada kama ya wiki kama tatu hv akaniambia niende kwao kujitambulisha na nianze taratibu za kumuoa tena alitilia sana msisitizo akisema nikiwa tayali basi naweza kumtafuta ili...
  2. George Barran

    Kitu ninachokijutia sana nilipokuwa kijana ni kupuuza kuvaa vizuri na utanashati. Nilidhani tatizo ni nyota kumbe mchawi mimi mwenyewe

    Ukipanda kiuchumi vitu vingi hubadilika kwenye maisha, nafikili mtoa mada amepanda kiuchumi ndio maana amepata na wazo la kupendeza
  3. George Barran

    Sheria ya asili ya kufanikiwa kimaisha utavuna ulichopanda

    Watakutafuna wewe mkuu hakika nakwambia kuwa makini sana
  4. George Barran

    Sakata la Ibraah na Harmo: Tuhuma mpya za kutisha

    Labda aliitwa chumbani akaangalie movie ya mazombie tusimfklie vbaya konde
  5. George Barran

    Inawezekana mtu kujifunza mwenyewe kunyoa nywele kwa kutumia mashine? Inachukua muda gani?

    Kuna hatua lazima uelekezwe kama jinsi ya kushika machine, ku adjust wembe ili kupata size tofauti na kujua nywele zimelalia pande ipi ili kuepuka kutoa upala
  6. George Barran

    Maumivu ya MAPENZI hayana msaidizi hutembea kwenye mishipa ya damu kabisa

    Hii ni elimu ya saikolojia mkuu, wengi hatuna huu ufahamu
  7. George Barran

    Jamiiforums GYM (mazoezi ) thread

    Sipendi kigimbi, ila nafanya mazoezi ya paja
  8. George Barran

    Jamiiforums GYM (mazoezi ) thread

    Wanyanyua vitu vizito tujuane hap
  9. George Barran

    Msibani: Mazishi ya ndugu zetu Waislam

    iyo namb mbili unatuongopea
  10. George Barran

    Mwanaume zingatia haya mambo madogo

    Mwanaume hatumii manukato makali kupitiliza
Back
Top Bottom