GemMaster II
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 3,405
- 10,600
- Thread starter
- #21
Kula vyakula vya protini kama vila maini,nyama,samaki,soseji,mayai, na usiwe unakimbia sana usizidi km 10 ishia km 3 mpaka 5 fanya mara mbili kwa week.Mimi nataka kuongeza uzito.
Bila shaka GYM itanifaa?