Am sorry wananchi,
I bring to you a very disturbing news ,hasa Kwa makada wenzangu.
Ukweli ni kwamba, ndani ya CCM Kwa Sasa ni either upo 100% upande wa JPM au 100% Kwa akina Malamba.
The bad news is watu hata hawana wasiwasi kujitambulisha kuwa wapo mlengo Wa akina Nape au Malema Wa Tanzania...