Wana jamvi,
Kuna baadhi ya mambo baadhi ya watu wamekuwa kama programmed kudiss tu.
Watu wanavyodhulumu mdiss Magufuli na kumpa character assassination inasikitisha sana.
Watu wanasema awamu hii watu wanatekwa sana Magufuli dictator.
Niwakumbushe tu, Dr. Ulimboka aling'olewa meno awamu ya ngapi?
Kiongozi wa vijana wa JKT waliondamana akaokotwa Kibaha msituni alitupwa huko awamu ya ngapi?
Mwandishi Mwangosi alilipuliwa na mabomu awamu ya ngapi?
Zanzibar 2001 watu walipigwa na mwembechai pale pia hii ilikuwa awamu ya tano?
Arusha Chadema walirushiwa mabomu kwenye mkutano wao, je hii ilikuwa awamu ya ngapi?
Je, kwanini watu hawakuwaita marais wa muda huo madictator?
Kimsingi inabidi tuweke kumbukumbu sawa, Rais alaumiwe kwa mambo mengine lakini sio haya.
Kuna baadhi ya mambo baadhi ya watu wamekuwa kama programmed kudiss tu.
Watu wanavyodhulumu mdiss Magufuli na kumpa character assassination inasikitisha sana.
Watu wanasema awamu hii watu wanatekwa sana Magufuli dictator.
Niwakumbushe tu, Dr. Ulimboka aling'olewa meno awamu ya ngapi?
Kiongozi wa vijana wa JKT waliondamana akaokotwa Kibaha msituni alitupwa huko awamu ya ngapi?
Mwandishi Mwangosi alilipuliwa na mabomu awamu ya ngapi?
Zanzibar 2001 watu walipigwa na mwembechai pale pia hii ilikuwa awamu ya tano?
Arusha Chadema walirushiwa mabomu kwenye mkutano wao, je hii ilikuwa awamu ya ngapi?
Je, kwanini watu hawakuwaita marais wa muda huo madictator?
Kimsingi inabidi tuweke kumbukumbu sawa, Rais alaumiwe kwa mambo mengine lakini sio haya.