Ukiangalia namna JPM alivyo shift kutoka kumlaumu Lowassa na Rostam mpaka kuja kuwa closest right hand , ni wazi anachokitafuta ni ku neutralize effect ya kundi la Membe.
JPM hakua na kundi lakin game lilivo Kua likienda angepoteza pambano.
Kaona awavute karibu Lowassa na Rostam of which ni hasi na chanya na group la Membe.
Kwa maana nyingine Lowassa na Rostam kandarasi yao ya kurudishwa ni ku neutralize kundi hili la Membe.
Anaye haribu mchezo ni Musiba, huyu jamaa ana poor strategy of attack ,namna yake ya ku attack ana create na ku unify zaid maadui.
Mfano anaposema wewe membe ulishindwa kuwa Rais kaka yako Wa damu akiwa Raisi, basically anamwingiza JK kwenye hii Vita.
As you know JK is the master of these dirty games ,ana masters ya ku neutralize migogoro kama hii, juzi Musiba kaomba radhi fasta baada ya taarifa kuenea Kua ana insult maraisi wastaafu.
Mapambano ni makali lakin Musiba ameamsha mbwa mwitu ambao hawakutaka kushiriki kwenye game of throne hii,
Tuhuma Kwa mmiliki Wa Jamii forum na wengine ,kuwa wanataka kumuua ni kilelelezo tosha Kua huyu jamaa either hakujua hili game lake lingeenda this far au he is stupid.
Musiba huenda anayoyasema yakawa yote uongo ,Jana anawatishia watu anasema wataota makalio makubwa au wataamka na wanja midomoni , this is purely desperation, na Kwa wanaojua mind game Na psychology kidogo ,his game is over.
Kwa maana nyingine ameonesha kuwa yeye ni mshirikina ,kitu ambacho hua ni last drop Kwa fighter to fall to.
Mwisho ni wadokeze tu , JPM still needs JK sana kuliko ,iwe JK mwema au JK mwovu , in any case JK deserves a medal of Honor Kwa service yake Kwa nchi hii.
Nchi hii ukiambiwa uwe Rais Kwa week Moja tu , usipokua sawa kichwan unaweza kuagiza wafe robo ya watu kisa wanakupinga, ts not easy.
Leo hii akina kinana cjui nape tunawaona wehu sana ts ok.
Lakin jiulize wewe hapo kama unhefunuliwa moyon mwako ,unawaza nn kuhusu utawala Wa awamu ya tano ?
Vijana wangap hawana ajira ?
Wafanya kazi wangap hawajapandishwa madaraja ?
Wastaafu wangap hawajalipwa mafao?
Yaan pesa zote hizo zimeibiwa na January ? Kweli ?
Sio kweli maisha ni magumu kweli kweli ,hata hao wanaotetea kimoyo moyo wanataman sana akina kinana wachochoee moto.
The truth should be spoken , JPM ni kiongoz mzuri lakin maisha ya watu wake sio mazuri .
Inawezekana wanaomzunguka wanakula vizur ,Wana ajira nzuri etc
Lakin si hivyo Kwa majority.
Na kama ni kweli watu Wana majukumu ,Kwa nn Wana mhujumu?
Ni muda Sasa wakunitafakari, hii habar ya Musiba ,vibajaji ,Musukuma yaan group la standard seven leavers kuwajibia watanzania hatutaki.
I see huko huko CCM kuna mtu hataamin kitakachotokea ,hata akiroga
JPM hakua na kundi lakin game lilivo Kua likienda angepoteza pambano.
Kaona awavute karibu Lowassa na Rostam of which ni hasi na chanya na group la Membe.
Kwa maana nyingine Lowassa na Rostam kandarasi yao ya kurudishwa ni ku neutralize kundi hili la Membe.
Anaye haribu mchezo ni Musiba, huyu jamaa ana poor strategy of attack ,namna yake ya ku attack ana create na ku unify zaid maadui.
Mfano anaposema wewe membe ulishindwa kuwa Rais kaka yako Wa damu akiwa Raisi, basically anamwingiza JK kwenye hii Vita.
As you know JK is the master of these dirty games ,ana masters ya ku neutralize migogoro kama hii, juzi Musiba kaomba radhi fasta baada ya taarifa kuenea Kua ana insult maraisi wastaafu.
Mapambano ni makali lakin Musiba ameamsha mbwa mwitu ambao hawakutaka kushiriki kwenye game of throne hii,
Tuhuma Kwa mmiliki Wa Jamii forum na wengine ,kuwa wanataka kumuua ni kilelelezo tosha Kua huyu jamaa either hakujua hili game lake lingeenda this far au he is stupid.
Musiba huenda anayoyasema yakawa yote uongo ,Jana anawatishia watu anasema wataota makalio makubwa au wataamka na wanja midomoni , this is purely desperation, na Kwa wanaojua mind game Na psychology kidogo ,his game is over.
Kwa maana nyingine ameonesha kuwa yeye ni mshirikina ,kitu ambacho hua ni last drop Kwa fighter to fall to.
Mwisho ni wadokeze tu , JPM still needs JK sana kuliko ,iwe JK mwema au JK mwovu , in any case JK deserves a medal of Honor Kwa service yake Kwa nchi hii.
Nchi hii ukiambiwa uwe Rais Kwa week Moja tu , usipokua sawa kichwan unaweza kuagiza wafe robo ya watu kisa wanakupinga, ts not easy.
Leo hii akina kinana cjui nape tunawaona wehu sana ts ok.
Lakin jiulize wewe hapo kama unhefunuliwa moyon mwako ,unawaza nn kuhusu utawala Wa awamu ya tano ?
Vijana wangap hawana ajira ?
Wafanya kazi wangap hawajapandishwa madaraja ?
Wastaafu wangap hawajalipwa mafao?
Yaan pesa zote hizo zimeibiwa na January ? Kweli ?
Sio kweli maisha ni magumu kweli kweli ,hata hao wanaotetea kimoyo moyo wanataman sana akina kinana wachochoee moto.
The truth should be spoken , JPM ni kiongoz mzuri lakin maisha ya watu wake sio mazuri .
Inawezekana wanaomzunguka wanakula vizur ,Wana ajira nzuri etc
Lakin si hivyo Kwa majority.
Na kama ni kweli watu Wana majukumu ,Kwa nn Wana mhujumu?
Ni muda Sasa wakunitafakari, hii habar ya Musiba ,vibajaji ,Musukuma yaan group la standard seven leavers kuwajibia watanzania hatutaki.
I see huko huko CCM kuna mtu hataamin kitakachotokea ,hata akiroga