Imehama 1.5T imefikia 2.4T mwakani mtasema 3.5TChadema bado kinahitaji fedha kujiendesha, hizi propaganda zenu za bilioni 1.9 hazitasitisha shughuli za Chadema. Wote kwenye akili wanaelewa jinsi gani ccm inavyohaha kufarakanisha Chama hiki ambacho wanaamini kuwa ipo siku kitakufa.
Kama wametumia zaidi ya trilioni 2.4 kwenye mambo yasiyojulikana, wameteka watu wetu na kuumiza na kuua, kuwanunua madiwani na wabunge, kuwaonga wanachama wetu vyeo lakini Chadema bado ni msitu mnene, tujiulize kwa nini propaganda nyingi zisiwepo. Kama mwanachadema stand for your right