Am sorry wananchi,
I bring to you a very disturbing news ,hasa Kwa makada wenzangu.
Ukweli ni kwamba, ndani ya CCM Kwa Sasa ni either upo 100% upande wa JPM au 100% Kwa akina Malamba.
The bad news is watu hata hawana wasiwasi kujitambulisha kuwa wapo mlengo Wa akina Nape au Malema Wa Tanzania.
Shida inakuja Kwa Pole Pole ,anapata taabu kidogo kusimama jukwaa Moja Na mtu aliyembrand kama Malaya Wa kisiasa ,na pia hawez kuside na akina kinana.
Kundi hili lisilo popote wao hawafungamani na upande wowote.
Fun eeh, wanaamini the clock will tick and everything over sudden will change, mpasuko Wa maana ,uhasama Wa moto unawaka.
Ndio maana hata Membe hana wasiwasi alikiri sauti ilikua yake meaning content pia hana tatizo nazo.
The guy is cool ,no pressure na kadiri cku zinavoenda ts too late Kwa whistle blower kama Musiba kuamshana.
Sasa hivi ni mbwai mbwai ,watu wako tayar rasmi kugawana fito,wanasema either tupate sisi uraisi ujao au tukose wote.
Kundi hili tayar Zanzibar is done ,mtu wao upande Wa Zanzibar ashaandaliwa na ana mvuto Wa kisiasa ,kuiteka CCM Zanzibar kumeumiza sana kundi la pili .
Angalizo, gombaneni lakin msitusumbue yakiwashinda
I bring to you a very disturbing news ,hasa Kwa makada wenzangu.
Ukweli ni kwamba, ndani ya CCM Kwa Sasa ni either upo 100% upande wa JPM au 100% Kwa akina Malamba.
The bad news is watu hata hawana wasiwasi kujitambulisha kuwa wapo mlengo Wa akina Nape au Malema Wa Tanzania.
Shida inakuja Kwa Pole Pole ,anapata taabu kidogo kusimama jukwaa Moja Na mtu aliyembrand kama Malaya Wa kisiasa ,na pia hawez kuside na akina kinana.
Kundi hili lisilo popote wao hawafungamani na upande wowote.
Fun eeh, wanaamini the clock will tick and everything over sudden will change, mpasuko Wa maana ,uhasama Wa moto unawaka.
Ndio maana hata Membe hana wasiwasi alikiri sauti ilikua yake meaning content pia hana tatizo nazo.
The guy is cool ,no pressure na kadiri cku zinavoenda ts too late Kwa whistle blower kama Musiba kuamshana.
Sasa hivi ni mbwai mbwai ,watu wako tayar rasmi kugawana fito,wanasema either tupate sisi uraisi ujao au tukose wote.
Kundi hili tayar Zanzibar is done ,mtu wao upande Wa Zanzibar ashaandaliwa na ana mvuto Wa kisiasa ,kuiteka CCM Zanzibar kumeumiza sana kundi la pili .
Angalizo, gombaneni lakin msitusumbue yakiwashinda