Urais miaka saba

Urais miaka saba

Geniuss

Member
Joined
Jan 19, 2019
Posts
28
Reaction score
202
WanaJF,

Uwepo Wa muhula wa pili wa kugombea Urais una madhara makubwa kuliko tunachokitafuta.

Katika Hali ya kawaida kufanya uchaguzi Kila baada ya miaka mitano huku uwezekano wa Rais aliyepo madarakani kuendelea ni 100% ni kupoteza muda na rasilimali pesa

Napendekeza tuwe na muhula mmoja Wa urais, lakin Rais akae miaka saba madarakani baada ya miaka saba anatafutwa Rais mwingine.

Kwa maana hii , Kwa Sasa Magufuli angetawala mpaka 2022 then tutafute Rais mwingine atakaye kaa Kwa miaka saba tu.

Wabunge waruhusiwe kuchaguliwa Kila baada ya miaka saba Kwa ukomo Wa term mbili tu,tusiwe na wabunge Wa kukaa miaka 20 jimboni.

Ukomo Wa urais kwa term Moja ya miaka saba ni Bora kuliko miaka 10 ya uraisi.
 
Tatizo maamuzi hayatolewi na WanaJF, Kuhusu gharama za uchaguzi usiwe na
Wasiwasi kila unapokaribia muda huwa tunaplan kuwakamua wanyonge, mambo
yanasonga.... Tulianza na bodaboda - tukalazimisha Usajili wa Plate namba mpya
na sasa tumehamia kwenye vitambulisho vya WASIRIAMWILI.. NO WAJASIRIAMALI
 
WanaJF,

Uwepo Wa muhula wa pili wa kugombea Urais una madhara makubwa kuliko tunachokitafuta.

Katika Hali ya kawaida kufanya uchaguzi Kila baada ya miaka mitano huku uwezekano wa Rais aliyepo madarakani kuendelea ni 100% ni kupoteza muda na rasilimali pesa

Napendekeza tuwe na muhula mmoja Wa urais, lakin Rais akae miaka saba madarakani baada ya miaka saba anatafutwa Rais mwingine.

Kwa maana hii , Kwa Sasa Magufuli angetawala mpaka 2022 then tutafute Rais mwingine atakaye kaa Kwa miaka saba tu.

Wabunge waruhusiwe kuchaguliwa Kila baada ya miaka saba Kwa ukomo Wa term mbili tu,tusiwe na wabunge Wa kukaa miaka 20 jimboni.

Ukomo Wa urais kwa term Moja ya miaka saba ni Bora kuliko miaka 10 ya uraisi.
pumbavu
 
Haya mambo yatafanyiwaje kazi wakati katiba mpya ya JMT yenyewe sio kipaumbele cha uongozi huu?
 
Hapana uraisi iwe miaka 4 na ukomo vipindi viwili pia na wabunge na madiwani
WanaJF,

Uwepo Wa muhula wa pili wa kugombea Urais una madhara makubwa kuliko tunachokitafuta.

Katika Hali ya kawaida kufanya uchaguzi Kila baada ya miaka mitano huku uwezekano wa Rais aliyepo madarakani kuendelea ni 100% ni kupoteza muda na rasilimali pesa

Napendekeza tuwe na muhula mmoja Wa urais, lakin Rais akae miaka saba madarakani baada ya miaka saba anatafutwa Rais mwingine.

Kwa maana hii , Kwa Sasa Magufuli angetawala mpaka 2022 then tutafute Rais mwingine atakaye kaa Kwa miaka saba tu.

Wabunge waruhusiwe kuchaguliwa Kila baada ya miaka saba Kwa ukomo Wa term mbili tu,tusiwe na wabunge Wa kukaa miaka 20 jimboni.

Ukomo Wa urais kwa term Moja ya miaka saba ni Bora kuliko miaka 10 ya uraisi.
 
Tusingejenga mabarabara kwa kuepuka gharama na muda
 
Kwanza jinsi viongozi wetu wanavyopiga kazi miaka 7 haitoshi kabisa labda useme miaka 17 hapo sawa
 
Yes hilo pia nilishauri hapa

P
Dr Hastings Kamuzu Banda wa Malawi, Mobutu Seseseko Kuku Ngw'andu wa Zabanga wa Zaire, Field Marshal Idd Amin Dadaa wa Uganda kuwataja wachache walikua na uzalendo wa hali ya juu kwa nchi zao

Hawakutaka kuwa wanafiki na kuziingiza nchi zao katika gharama na matumizi ya rasilimali fedha na muda kufanya maigizo yanayoitwa uchaguzi

Walitangaza mapeema kuwa wao ni maraisi wa maisha na vyama vyao vitadumu madarakani kuleta maendeleo kwa watu wao na kama kuna mtu ataleta fyokofyoko atakiona cha mtema kuni maana mtu huyo mkorofi atakua hana macho ya kuona maendeleo yalioletwa na vyama na marais hao wa maisha

Sasa sijui kwanini na sisi tunasitasita kufuata nyayo za hawa mabwana wakubwa!

Hatuoni hadi Waingereza walimbeba juu juu Amini, hatuoni jinsi wamarekani walivomkubali Mobutu hadi pambano la ngumi kati ya Muhammad Ally na Joe Frazier lilipigwa pale Kinshasa! Mafanikio madogo hayo?
 
Back
Top Bottom