Hilo ni kawaida kabisa kwani baadhi ya tamaduni ndoa hufanyika nyumani kwa mwanamke kwani ndiko unakomtoa. Ingawa bado mnaweza kukubaliana hii inategemea utamaduni wao. Kama unampenda huyo mke huwezi kujali mazingira yake duni
jamani wanaume kujisafisha ni tofauti na wanawake, mwanaume anakung'uta tu inatosha mwanamke utaweza? mazingira ya uchafu kwa wanaume hayana uhusiano na haja ndogo labda iwe tabia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Na ashukuriwe Mungu amepatika sasa kituo pclisi urafiki, Asanten pia kwa kubeba mzigo katika maombi :lieni pamoja nao waliao, furahini pamoja nao wafurahio" God bless you
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.