Kwani wewe mama, mtu wa maana kwako tafsiri yake ni ipi? Maana yake iko wapi kama hajui kukojoa kwa usafi? Harufu huletwa na kukosekana usafi na sio kukojoa. Nasisitiza mwambie huyo mwandani wako afueage hilo chupi lake na sio kutulazimisha as if umeshatembea na wanaume wote.
Jasho, kutonyoa, kutofua chupi, magonjwa ya ngozi, govi hivyo vyote vinafanya mtu anuke.
Na wewe usipende kukamatwakamatwa popote unapopatikana. Hao wanaume wako wasiooga kabla ya tendo watakuambukiza magonjwa. Unapaswa kujua kuwa hiyo kitu yako ni delicate kwa hiyo unakubali kuparamiwa hapo hapo ulikokutwa
Pia hiyo ni muhimu kwa Waislam tu. Mimi na Uislam mbalimbali. Ni kama mbingu na ardhi.
Still mnaongoza kwa kuugua UTI na FUNGUS. Acha nikwambie kijana toka Pemba. Unapoosha hicho kibamia chako na maji na ukawa huna taulo la kukausha hayo maji, basi ule unyevu unapopata joto la mwili unatengeneza uvundo ambao unaweza kuwa chanzo kizuri cha magonjwa na ndio maana mnaugua sana fungus
La pili, mnaambiana kwamba ikiwa maji hayapatikani mtumie jiwe au mchanga, this is absurd! Jiwe uliloliokota chini, tena nje ya choo una hakika gani na usafi wake? Wanapodeki chooni maji yakimwagika yanakuja kwenye jiwe lile, ama mwenzako naye alilitumia kujisafishia na kulitupa sasa na wewe...loh!
Usinchoshe buree, hebu 'niwache nipumuwe'
hata ukinya unajipangusa kwa wet tissue?!!Lol, kiduchu bana.
Japokuwa huu utaratibu wa kunawa bila sabuni nao huwa unanitatiza. Kuna siku nilimuambia mdada kavaa skirt yake nzuri kachomekea blouse. Namuona ana majo kwenye makalio. Akasema alinawa toilet, nikastuka kimya kimya. Sie wadada tutabeba wet tissues kwenye bags, hatuhitaji sana kunawa na maji. Wakaka huo ni mtihani. Ila inahusu cha chap chap BJ ubakutana na urea jamani?