Hii ipo sawa bhajameni au ni defamation yan imepita siku moja tu
HABARI NDUGU AMA JAMAA WAKARIBU WA XXXXX XXXXXX. MWENYE NO;0000000. NI TAPELI AMEKOPA KIASI CHA SHILLINGI 160,000/= KUTOKA KAMPUNI YA PESA M LOAN NA ANATAKA KUTUTAPELI, UKIWA KAMA MTU WAKE WA KARIBU TUNAOMBA UMUAMBIE ALIPE...
Hivi hii imekaaje kuna mshikaji katumiwa hii kwenye phone book contact zake zote.
HABARI NDUGU AMA JAMAA WAKARIBU WA XXXX XXXXXXX. MWENYE NO;0XXXXXXX. NI TAPELI AMEKOPA KIASI CHA SHILLINGI 105,900/= KUTOKA KAMPUNI YA PESA M LOAN NA ANATAKA KUTUTAPELI, UKIWA KAMA MTU WAKE WA KARIBU TUNAOMBA...
Habari Wasomi.
Naomba kufahamu juu ya kozi gani fupi au kozi ndefu katika vyuo ambayo unayoweza kusoma na kukupa ajira ya mapema zaidi hapa nchini?
Natanguliza shukrani zangu.
Naitwa Dalali Mtembezi tokea jijini Dar Salaam, natafuta muwekezaji au mnunuzi katika vitu vifuatavyo.
Nina eneo la kutosha mjini posta karibu na Majani ya Chai ni Mali ya kampuni inahitajika Muwekezaji ama Mnunuzi atakae weza kununua ama kujenga na kugawana space na mmiliki wa eneo hilo kwa...
Wakuu habari!!.. Ebu tujaribu kufikiri tafsiri za nyimbo za bongo maana yake.
Leo nilikumbuka kusikiliza nyimbo za kitambo kidogo za bongo (Throw Back Thursday ) nikakutana na ile nyimbo ya msanii mdogo wa bongo flavor Young Dar es Salaam (Young D).
Hii nyimbo ilikuwa maarufu inaenda kwa jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.