Pitia hapa kama hujawahi kuuona ungo

Pitia hapa kama hujawahi kuuona ungo

Kama hujawahi kuona mtu akipaa na ungo basi tupia jicho hapa


View attachment 586412
Pale unapokosa cha kufanya na kuamua kupost upuuzi ili kudharirisha iman ya mtu mwingine.
Hekima na busara ni vitu viwili muhim sana kweny maisha yetu. Je, umejipanga kupokea matokeo ya vita uliyoianzisha???
# kila mmoja aeshimu imani ya mwenzake.
# mpaka afe mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale unapokosa cha kufanya na kuamua kupost upuuzi ili kudharirisha iman ya mtu mwingine.
Hekima na busara ni vitu viwili muhim sana kweny maisha yetu. Je, umejipanga kupokea matokeo ya vita uliyoianzisha???
# kila mmoja aeshimu imani ya mwenzake.
# mpaka afe mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sikuwa na nia ya kuidhalilisha imani ya mtu yoyote. Rejea kichwa cha uzi.
 
Kuna haja kusanifisha hii sayansi
 
Nimepata cheo cha expert member ndani ya siku 10 tangu nijiunge na JF.
Kwa utaalam wangu, sioni umuhimu wa Uzi kama huu kuwepo hapa JF, mods tafadhali futeni Uzi za kipuuzi kama hizi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimepata cheo cha expert member ndani ya siku 10 tangu nijiunge na JF.
Kwa utaalam wangu, sioni umuhimu wa Uzi kama huu kuwepo hapa JF, mods tafadhali futeni Uzi za kipuuzi kama hizi
JF aupo peke yako kila uzi una watu wake.
 
Ngoja na wewe kama hawajakuunganisha kwenye kile kisomo,
 
Back
Top Bottom