Mm nafanya kazi kama nmb wakala, sasa tarehe 26 mwez December, nilijichanganya baada ya kumwekea mteja 500000 nikamwekea 5m, nikamgundua kwa kuwa ni mtu wa karibu akahaidi kurudisha, baadae akaturudishia nusu ya hyo hela baada ya hela kamili, akahaidi nyingine kumalizia lakini saiv anazungusha...
Hiyo GPA yako ya chuo gan? Udsm huwa wanawapa priority wanafunzi wa hapo hata kama yupo chini ya GPA ya mtu ambaye ametoka chuo kingine but sidhan kama ni fair
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wana JF nimerudi tena kuomba msaada wenu, wa kunisaidia shule ya kufundisha kwa masomo ya Geography na Kiswahili. Nina shahada ya ualimu(Baed) kutoka chuo kikuu UDSM
Sent using Jamii Forums mobile app
Na yenyewe ndo ilikuwa imeanzishwa kwenye college ya COAF, imetolewa kwa sababu za kutoendana na nature ya chuo kilivyo. Haijawahi kutoa product yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
MD ndo imezuiwa hii ni kutokana na uwepo wa Mloganzila, baba Jesca alisema haiwezekan waijenge Mloganzila halafu Udsm wanaongezea course ya MD
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.