Vipi Leo England anapiga Ujerumani Ili kulinda heshima yake au atauza kama alivyofanya France Jana? England na Italy win hao wawili TU. Sitaki tamaa.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
umesoma vizuri nilichoandika au umekuja tu mbio mbio hujaona nimetaja route kabisa Dar shy mwanza ambako ninajua ni mabasi mapya. Jaribu uwe unasoma kwa vituo na kuelewa kilichoandikwa.
Allys star moja ya mabasi bora kabisa njia ya Dar shy Mwanza nilichopenda zaidi basi huwa ikifika mwanza au zile zinazoishia shy kuna basi mbili unazikuta standby kwa ajili ya safari ya kesho. Hii ni moja ya njia bora ya kwani madereva wanapumzika kesho yake, mabasi yana pata muda wa kuangaliwa...
Nyumba gari na ahadi tamu tamu toka kwa unaotarajia kuwashitaki ziko karibu nawe kaza hivyo hivyo. Kila mtu ashinde match zake naamini zikianza miminika zawadi na uzi ndio hatutousoma tena mrejesho wake.
Kwahiyo mkuu hii ni dhambi kama ambavyo unaambiwa ukitamani mke wa mtu umetenda dhambi?, Duh huko motoni kama kutajaa sana maana daily watu wanatenda dhambi wasizozitarajia bila kujua .....
Yani ukiangalia uhuni wa Spain wanavyocheza siku hizi utadhani wanashiriki mambo ya kufix game, sio ile team ambayo ilikuwa inaua goal kibao, mfano game ya leo kama wanataka ifix isitoe magoli.
Wadau kuna anaejua maswaibu yoyote yaliyowapata Sportpesa Tz maana website yao ukiifungua iko blank hakuna matangazo wala matches ila unapata access ya kulogin bila shida.
Na hivi tunaelekea kwenye uchaguzi wasitubugudhi na sms zao za vitisho haya makampuni ya wanyonyaji tutawashitaki kwa baba awachinjie baharini.....;););)
Mtoa mada uko sahihi lakini kama ulimsikiliza jana mjengoni naibu ni kana kwamba alikuwa anaunga unga tu maana kauli ambayo aliiongea miezi kadhaa nyuma ilikuwa tata zaidi ya aliyoongea Jana na katika kujaribu kukanusha ya nyuma na kuweka ionekane vizuri akahisi Jana ndio kajaribu kuweka sawa...
Alienzisha huu Uzi sio yule wa mjengoni aliesema kuwa "waliosema sio ndio wameshinda" maana maandiko yake kama anapima upepo je gia zake zinakubarika au LA,uzuri anakula za USO mpaka sasa naona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.