Unazifahamu hizi?

Unazifahamu hizi?

Hata vyoo vya misikitini huwa wanakata kandambili kama hivyo.
 
Wanavaa watu wa namna gani?? Mimi nakumbuka udogoni tulikua tunakata ndala ili tukienda kucheza mpira tusiibiane
Ukubwani tuna kata ndala ili tusijulikane wapi tunatoka wapi tunakwenda
 
Kama umezikuta lodge ukiwa safarini bado mbinguni kutakuwa mbali?
 
Mkuu, hii comment yako itavuruga maana nzima ya huu Uzi na bila kutafakari tayari umeleta tafrani humu...
Kimsingi, hapakuwa na haja ya kuleta mambo ama maneno yanayo husu imani na nyumba za ibada kama haikuwa lazima
Sikujua kama lengo ni kuzungumzia habari za gesti tu,nafikiri kila mtu alipoiona hiyo picha mawazo yake yameenda kule alipo na uzowefu nako hivyo sidhani kama wote humu ni watu wa magesti.
Mimi binafsi nilipoona hiyo mawazo yakanijia vyoo vya msikitini sikujua kuwa gesti nako wanafanya hivyo,cha muhimu hapo ni sababu ya kufanya hivyo na si wapi hufanya hivyo.
 
Ila jamani ndala zina rahayake, kwanza ni viatu vyepesi sana
 
Back
Top Bottom