FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,106
- 2,789
Mbeya mtake msitake hela zitakuja tu hapo.tupo mpakani kidadadeki fisiem
Haipo panapotakiwa kuwa hasa kwa miundo-mbinu ya barabara, drainage na sewage systemsMj.inga .na mpu. Mbavu wewe.mbeya haina maendeleo???
Watu wa Arusha wajanja sana, wanaopondea serikali ni vijana wanywa viroba ila investor wakubwa pale chuga wapo sambamba na serikali, wamiliki wa mahotel wanakula bata na akina kikwete, miradi mikubwa ya maji na ujenzi wa barabara za kisasa imeelekezwa huko....Nasikitika sana jiji la Mbeya kubeba taswila ya kutoheshimu, viongozi wakuu wa kitaifa na mamlaka zao. Matokeo yake jiji limekuwa linachelea kupata maendeleo ya haraka, kwa sababu ya kukosa ushirikiano dhabiti kutoka mamlaka za kiserikali.
Ipo wazi kuwa, wana Mbeya wafike mahari, watambue ipo haja ya kukubali kushirikiana na viongozi wakuu pamoja na mamlaka zao, katika kujenga jiji la Mbeya. Hii biashara wanayofanya ya kujionesha ni watovu wa nidhamu kwa serikali haitowafikisha popote, zaidi zaidi itakuwa ni hasara kwa kuendelea kukosa miradi ya maendeleo na kusahaulika.
Rai yangu: bado nafasi ipo ya kushirikiana na serikali, ifike mahari tutambue kwa busara yupi ni mtu sahihi ambaye anaweza kutuvusha katika daraja kuelekea katika maendeleo ya kweli, ifike mahari tutambue tunapaswa kujenga mahusiano mema na viongozi katika mamlaka zao za serikali kwa ajili ya maendeleo yetu, tukosoe kwa staha na adabu pale ambapo tunaona mambo hayaendi sawa, kuanzia sasa tujenge taswila mpya hakika jiji la Mbeya litatoboa, kwani lina sifa zote za kutoboa ila wanasiasa wanalichelewesha jiji kutoboa.
Umenena mkuu wewe umenielewa vizuri sana na umemaliza kabisaWatu wa Arusha wajanja sana, wanaopondea serikali ni vijana wanywa viroba ila investor wakubwa pale chuga wapo sambamba na serikali, wamiliki wa mahotel wanakula bata na akina kikwete, miradi mikubwa ya maji na ujenzi wa barabara za kisasa imeelekezwa huko....
huko mbeya sasa watu wanaisha kwa tabu sana, mji umejaa vumbi kinyama, et sugu ni mbunge wa mbeya, viongozi wakija anawanyoshea dole la kati, alaf kesho anaenda kushinikiza serikali impelekee huduma ya maji...huo ni ujinga
Huna akili weweSidhani kama nimeshawishi upuuzi, pia sidhani kama nimempigia kampeni kiongozi fulani, andiko langu limejielekeza katika kubadilika wana Mbeya, biashara tunayofanya haitusaidii inatukata sana, tubadilishe huu utamaduni wa kujitia majeuri mbele ya walioshika makali.
Tena hata B O N G E linapatikana huu huu mkoaa wa Maembe [emoji541] hospitalDodoma hawana kiburi lakini mpaka sasa hawajatoboa...
Tatizo viongozi wenye roho CAG wachache
wewe ni bwege kabisaSidhani kama nimeshawishi upuuzi, pia sidhani kama nimempigia kampeni kiongozi fulani, andiko langu limejielekeza katika kubadilika wana Mbeya, biashara tunayofanya haitusaidii inatukata sana, tubadilishe huu utamaduni wa kujitia majeuri mbele ya walioshika makali.
Acha kulinganisha Tabora na mikoa ya kishenzi mkuu. Tabora ipo vzr sana kwa tàarifa yako.Ruvuma, Tabora etc ni watiifu wamefika wapi?
Acha uchoko. Kinachoibeba dodoma ni hadhi iliyopewa la sivyo wangehamia woote miji mingine kuja kuombaombaWe haupo dodoma..unahara tu
Acha unafiki ww tuache na mbeya yetuNasikitika sana jiji la Mbeya kubeba taswila ya kutoheshimu, viongozi wakuu wa kitaifa na mamlaka zao. Matokeo yake jiji limekuwa linachelea kupata maendeleo ya haraka, kwa sababu ya kukosa ushirikiano dhabiti kutoka mamlaka za kiserikali.
Ipo wazi kuwa, wana Mbeya wafike mahari, watambue ipo haja ya kukubali kushirikiana na viongozi wakuu pamoja na mamlaka zao, katika kujenga jiji la Mbeya. Hii biashara wanayofanya ya kujionesha ni watovu wa nidhamu kwa serikali haitowafikisha popote, zaidi zaidi itakuwa ni hasara kwa kuendelea kukosa miradi ya maendeleo na kusahaulika.
Rai yangu: bado nafasi ipo ya kushirikiana na serikali, ifike mahari tutambue kwa busara yupi ni mtu sahihi ambaye anaweza kutuvusha katika daraja kuelekea katika maendeleo ya kweli, ifike mahari tutambue tunapaswa kujenga mahusiano mema na viongozi katika mamlaka zao za serikali kwa ajili ya maendeleo yetu, tukosoe kwa staha na adabu pale ambapo tunaona mambo hayaendi sawa, kuanzia sasa tujenge taswila mpya hakika jiji la Mbeya litatoboa, kwani lina sifa zote za kutoboa ila wanasiasa wanalichelewesha jiji kutoboa.