Recent content by gda sparta

  1. gda sparta

    Magufuli ni mwanasiasa aliyefilisika kihoja na wala hana uwezo wa kushinda uchaguzi kihalali

    Lowasa ndo hana cha kuwambia wananchi,alishindwa kusoma sentensi ilioandkwa!:NIMEAMUA RASMI KUJITOA KWENYE CHAMA CHA MAPINDUZI CCM NA KUJIUNGA NA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA kweny hotuba yake ya siku ya kwanza alipojiunga na chama hcho!! Hawez hata kuongea jambo dogo bila kusoma!!!
  2. gda sparta

    Napenda kunusa kufuri la mke wangu

    Endelea tu kunusa mkuu!!unajua kila mtu anapenda harufu yake, wengne wanapenda harufu ya vumbi likilowa wengne wanapenda mbolea ya nguruwe,wengne viatu, sasa wewe unapenda harufu ya chupi dah pole sana
  3. gda sparta

    Ukiniacha nakuroga hadi kuku

    Mkuu iyo story sio yako acha kudanganya watu
  4. gda sparta

    Inauma sana, nimeona picha za mpenzi wangu akiwa na mwanaume wake wa zamani kimahaba

    Umeshasema mwanaume wake wa zaman ko usiumie alikuwa wake before you waache wakumbushie 2!!
  5. gda sparta

    Ukiniacha nakuroga hadi kuku

    Kama dhamira yako ni kumtumia na kumuacha hata kama hata kuroga utajihisi umerogwa si vema kuchezea hisia za mtu mkuu
  6. gda sparta

    Hivi huyu binti anaweza kuwa amenipenda au ni hisia zangu ndo zinanituma vibaya?

    We domo zege tu kama vipi achana nae akiona kimya atakuja kukwambia yeye mwenyewe kuwa anakupenda
  7. gda sparta

    Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

    Mkuu nina swali hapo kwenye vipimo vya HIV kuwa ni feki naomba unifafanulie je walitumia vipimo hivyo mpaka sasa wafanyaje warudie tena kupima na kipimo sahihi? Na kipimo hicho sahihi ni kipi?
  8. gda sparta

    Mbeya: Aliyedhaniwa kafa akutwa hai mochwari, Hospitali ya Rufaa

    Uyo alikuwa hajafa walimpeleka mochwari bila kumpima vzur kufufuka ni kitu ambacho hakiwezekani!!
  9. gda sparta

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Haujarogwa mkuu timu yenu ndo uwezo wake uo!!
  10. gda sparta

    Mungu huzihifadhi wapi roho za marehemu?

    Azihifadh popote bali atawarudishia pumzi mpya!!fikiria Inakuaje pale unapojaza upepo kwenye tairi ya baiskel na kuutoa hapo baadae je uwa unarud kweny pampu??
  11. gda sparta

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Umeona ilo mkuu mech ya the blues sio ya kushobokea ovyo ngumu sana!!
  12. gda sparta

    Dokta Amzuia Aunty kujifungulia Marekani

    Ndo ashachelewa mtoto atabaki kuwa mtanzania kwanza uo ni ujinga na watu kukosa akili tu
  13. gda sparta

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hebu nisaidieni wakuu wa the gunners kama arteta na per matarsaker wakikosekana kwenye timu nan huwa anavaa kitambaa cha captain!!?
  14. gda sparta

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Nataman madrid ikutane na barca ili iwe tukimtoa iwe rahc kutetea ndoo ambayo haijawah tetewa
Back
Top Bottom