Recent content by gatty

  1. gatty

    Msamaha

    Katika pita pita zangu Leo nimekutana na kundi la watu wa kike na wakiume wakibishana baadhi ya upande wa kike wamelalamika kuwa wanaume wengi huwa ni wagumu kusema neno samahani au naomba unisamehe hata kama kafanya yy kosa kuomba samahan ni shughuli mmh huku wanaume wanadai wanawake ndio...
  2. gatty

    Nikitu gani kinakufanya usiwe na mpenzi, kuolewa au kuoa tukutane hapa!

    Nina kwama kuwa na mpenz sababu ya marafik zangu nikiwa nae tu habar zangu zote chochote nachofanya lazima mpenz afikishiwe sasa na dogo kilichofanya nikaacha na mpenz wangu nampenda sana hata akisema arudi Leo mlango uko waz bt sometimes inaniwia vigumu kuanzisha mahusiano mapya kuhofia huyo...
  3. gatty

    Makwapa yawe safi jamani

    Aise mmenifurahisha sana Leo na makwapa duuuh
  4. gatty

    Re: Secretary Job Agency

    Niliambiwa nitume hela kwanza ndo niifanye training
  5. gatty

    Makwapa yawe safi jamani

    Siyo kwenye daladala tu kwenye mjumuiko wa watu, kuna baadhi ya wanaume ni wavivu aisee na so zamakwapani tu hata kule ikulu black house nako kunatakiwa usafi tufyeke tukifyeka hata harufu za huko zinapungua
  6. gatty

    Makwapa yawe safi jamani

    Usafi wa makwapa muhimu jamani mtu unakuta kawekeza nywele miezi na miezi hata kuzifyeka hamna basi najua wengne ni hurka ya mtu unakuta hawez kukumbuka bas mpenz wake chukua jukumu la kumsaidia kunyoa muwekee na marashi mazuuuri ndio maana wanasema kumtunza mwenzio ni jukumu lako tuepushe...
  7. gatty

    Onyesha uzalendo sambaza upendo

    Nilale wapi nawakat nyumba inatakiwa kujengwa haaaaaha mvua imenyesha nikapata aidea ya kumbatio lol....!!!
  8. gatty

    Onyesha uzalendo sambaza upendo

    Funguka the Dude kho kho kho lambda hakajijui mweeeh
  9. gatty

    Onyesha uzalendo sambaza upendo

    Unataka gesti haaaaahaa umeniachaga hoi
  10. gatty

    Onyesha uzalendo sambaza upendo

    Kuna mwana JF humu unampenda ila unashindwa kumwambia, funguka bila kusita ya mungu mengi haaaahaaa haahaa keep smiling
  11. gatty

    Hivi huyu dem ananifikiliaje?

    Bila kukunja goti ndo nini ??
  12. gatty

    Aya!mechi ya Man U Vs Man city,imenifanya nione nakusikia nisivyopasa kuona

    Pole ndo vile tena wajionea mwenyewe pole
  13. gatty

    Wanawake wa JF badilikeni!

    We mwenyewe unamapungufu don't judge anyone by his or her appearance buuuuhhh
Back
Top Bottom