gatty
Member
- Feb 28, 2014
- 64
- 13
Usafi wa makwapa muhimu jamani mtu unakuta kawekeza nywele miezi na miezi hata kuzifyeka hamna basi najua wengne ni hurka ya mtu unakuta hawez kukumbuka bas mpenz wake chukua jukumu la kumsaidia kunyoa muwekee na marashi mazuuuri ndio maana wanasema kumtunza mwenzio ni jukumu lako tuepushe majasho na harufu mbaya za makwapa kama unaona uvivu cku iz kuna dawa za kupaka tu kwapani zinatoka zenyewe ni mtazamo Wang jaman