schizoid-man
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 402
- 392
kuna baadhi yetu wanaume tunapoteza muda na pesa zetu nyingi kwa mademu wasio na kichwa wala miguu, huyo msichana ndio wale wenye slogan ya "Chuna Buzi"
mhhhhhhhhh mapenzi haya hapo huna chako ndugu yangu ila mwambie aache dharau unashindwaje kuonyesha msimamo hata kama huna pesa mpe makavu live bhana
Hoja ni ananifikiliaje
Hayo ni Mapenzi ya kidigital whatsapp, viber, Instagram hivyo kuwa mpole kwani akija mbeya hana shida ya kutafuta mgegedeo kwani upo we punda wake akiwa mjini washuwa wapo ukizingatia huna ukwasi na pesa...wewe ni tools
ALL IN ALL NIMEGUNDUA ANAFANYA YOTE HAYA BAADA YAKUGUNDUA NIMEMZALAU NA KUMUONA WA KAWAIDA SANA:yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield:
yaani brother nakuambia tenagers ni shida..story nyingine kama zinatungwa..hebu angali alivyoanza ee.
"Nilipokua chuoni alikuwepo demu mmoja
niliyemuacha mwaka mmoja nyuma,"
maana yake ameshamaliza chuo...then mwishoni anasema huyo dem sasa yupo mwaka wa pili sasa...anyway sijajua chuo chake ni.miaka mingapi..ila.zaid aliposema "kwao maisha ni magumu hana hata laptop" inaonyesh kwake laptop ni kitu cha maana sanaa..then akasema dem ni classic "anadrive"
sasaa mkanganyiko wote huu kwangu naona kama ni story ya.kutunga ama ameongeza uongo ama poor presentation..hawa ndo wavulana na story zao jamani..
yaani brother nakuambia tenagers ni shida..story nyingine kama zinatungwa..hebu angali alivyoanza ee.
"Nilipokua chuoni alikuwepo demu mmoja
niliyemuacha mwaka mmoja nyuma,"
maana yake ameshamaliza chuo...then mwishoni anasema huyo dem sasa yupo mwaka wa pili sasa...anyway sijajua chuo chake ni.miaka mingapi..ila.zaid aliposema "kwao maisha ni magumu hana hata laptop" inaonyesh kwake laptop ni kitu cha maana sanaa..then akasema dem ni classic "anadrive"
sasaa mkanganyiko wote huu kwangu naona kama ni story ya.kutunga ama ameongeza uongo ama poor presentation..hawa ndo wavulana na story zao jamani..
Nilisoma language nikaambiwa faida ya informal language inasave sana tym
Huu uandishi mmmmhhhNilipokua chuoni alikuwepo demu mmoja niliyemuacha mwaka mmoja nyuma,wakati nilipomjua alikua anagegedwa na Lecturer wazi kabisa kila mmoja akawa anajua, me ckujali nikajitosa kwa utelezi wa room mate wake ambae tulikua nae clax 1, nilikaza sana nikaambulia romance tu tena room kwake ila kumgegeda akabana na yote hofu kubwa alimuogopa ticha angejua angeweza hata kumdisco,tukaendelea na romance tu mpk nilipomalza na kumuacha chuo,
walipofunga alikuja Mbeya kwa dadake akanitafuta na kuja hadi geto ila nikaona noma kutake fursa kwa vile angeniona dhaifa na hata hvyo alikua kapendeza sn na kiukwel co type yangu ni classic sana, tulikaa nae takriban masaa matano ila katikat alinitega kwan ilikua ni saa saba mchana hiv akasema ikifika saa kumi naondoka, me ckujal nikajua neno la kawaida2 kimbe alitaka nimgegede, baadae akaondoka jion anantumia sms angejua ningemgegeda ila nikambwela, nilimdenda arud kesho yake ila akawa bulidi,
aliporudi siku nyingne siku mbili kabla yakufungua chuo nilimgegeda bila kukunja goti ila alipofika chuo tu kumpata kwny simu ikawa tabu, hapokei wala nini siku ukimpata anakwambia yuko disc atanipigia bt hapigi ng'ooo,, ikafika wakati nikaachana nae kabisa siku fulan akatuma sms "Hivi kama unanipenda kweli unajua naishije huku" akiwa na maana HELA,, Nilimjibu hatak mawasiliano me ntajuaje shida zake,,hatukuwSiliana tena mpk alipofunga chuo akaja tena kwa sista wake akawa anakuja nitembelea ila nikawa naogopa kumgegeda naogopa maradhi,,tukazoweana sana had anapokea simu za mabwana zake mbele yangu me cna hata wazo namtoa lunch na maeneo mengne yuko huru tu kuchat kupikea simu za mabwana zake nw ni leisure free,,, me cna tym,, amekua ananieleza anataka kwenda Australia akirudi huko anakuja angusha jumba matata na anadrive wakati ndio yuko mwaka wa pilu chuo uwezo wao kifamilia kawaida sana hawana kitu njaa tupu hata lap top hana
Hoja ni ananifikiliaje napompa uhuru wote huo kufanya lolote mbele yng tofaut na zaman alikua hapokei sim ya mtu nikiwa nae
alikuwa bulidiHana time na wewe
Ila msomi jifunze kuandika aisee
Cna
Clax
Nilipomalza
Sim
Co
Ckujal
Arud
Kwny
Bt
Khaaaaa