Wewe utakuwa unapanda daladala na wasaka nyoka au wale Wakurya wa Kipunguni wanaowahisha mayai K'koo...
Hebu pita kwenye mablog ya wadada wenzako kina Dina uone namna wadada wenzako wanavyoweweseka kutafuta tiba ya kuzuia kiharufu beberu cha kwapa...
Kutwa mwajisugua na makoko ya ugali au kama haitoshi mkienda kwa mangi gengeni kutwa mwamaliza malimao na ndimu kwa sababu ya kwenda lipiga swaki kwapa...
Ebu usinivunje mbavu mie...wewe unachogomea ni nini, kuwa wanaume hili haliwahusu? Kipi nafuu, kwapa lililo safi though jeusi au kwapa lililofugwa afro?