Recent content by gasper2

  1. G

    Hivi tungekodi kampuni ya Uingereza kuchunguza makinikia tungejua tulichojua?

    Chige Ona hapo #4. Tenda ilianza kutangazwa back 2016, ikaja kurudiwa November 2017, na tena 2018 lakini bado haikupatikana kampuni yenye sifa, na ikaja kutangazwa tena June 2020! Je, baada ya kutangazwa tena June 2020, alipatikana mzabuni? Hiyo haina maana kwamba Tenda ilianza kutangwazwa...
  2. G

    Viwanja Pacha vyenye Hati Miliki Vinauzwa MBWENI-Maputo

    Hilo eneo kipindi cha mvua ni full mafuriko, kuna changamoto ya drainage ya maji ya mvua
  3. G

    Nina madonda ya koo msaada plz

    Tafuna tangawizi mbichi, meza maji yake, tafuna kama robo kilo kwa masaa matatu. Baada ya masaa matatu kunywa chai ya tangawizi. Fanya hivyo kwa siku tatu
  4. G

    Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

    Makadirio ni sawa, sema dimensions za nyumba sio 13mm by 15mm bali ni 13m by 15m
  5. G

    Makadirio ya Gharama ya ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu 3

    ↑ nami pia nipeni gharama ya kujenga nyumba mpaka kwenye linta tofali nishapiga ukubwa wa nyumba ni 13mmx15mm ya vyumba 4 eneo lilipo ni tanga mjini. Millioni 15 - 20 Sio 13mmx15mm, ni 13m by 15m
  6. G

    On Star TV: Ipi Misingi ya Kuendeleza Amani Tanzania?

    Hivi kweli tunafikiria ni rahisi kumpleka mahakamani na kumshtaki FISADI kwa kutumia sanduku la kura. Si rahisi hata kidogo kumuondoa FISADI madarakani kwa kutumia sanduku la kura, ni dunia nzima hawa wanaondolea kwa misukosuko, au labda kwa kulazimishwa na Wazungu. Hata ningekuwa mimi...
  7. G

    Ngeleja achafua hali ya hewa bungeni

    si rahisi kuandaa bajeti ya nchi kama unataka kuiba hapo kwenye bajeti kama ngeleja
  8. G

    Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

    chadema wameshinda biharamulo
  9. G

    Deus Kibamba aisifia hotuba ya Rais Kikwete kwa wazee wa Dar!

    mafilili twende tukachukue mshahara wa mwezi wa kumi na moja 2011, umetoka pale chcm lumumba, ff kanipigia simu, wewe umeandika uwongo mwingwi sana kwenye jamii forums mwezi huu, donge lako litakuwa nono
  10. G

    Bungeni: CHADEMA yawavuruga wabunge, jazba zatawala na muswada wa katiba mpya haujadiliki

    Masaburi, Ole Sendeka alipata zero form four, we know
  11. G

    Barclays bank ni noma, msaada wa sheria haraka

    Mkuu hiyo aiwezekani, unajua zile siku 21 ni kwa ajili ya kuakikisha kama hiyo cheque ni fake au original. Na uwa wana scan hiyo cheque na kutuma kwenye hiyo account kusudi wa confirm kama cheque ni yao, jina na signature ya huyo mtu ni za kweli, pia lazima wampigie simu huyo mwenye...
  12. G

    GE2010 Igunga: Nani ataibuka kidedea kati ya hawa?

    SOBY, CCM KWELI NIMEHAMIN HAMNA KITU, BONGO LALA HIVI 57% +32% + 18% (CCM + CHADEMA + CUF) = 107% bila hata hiyo +/- 5%. SOBY UNAELEWA MAANA YA PERCENT (%).?????. PERCENT JUMLA LAZIMA IWE 100%. AU UNAIMANISHA UMEJUMLISHA NA ZILE WA KUCHAKACHUA?? ZILIZOPO NZEGA NA FAIZAFOXY YOUR THE SECOND...
  13. G

    Maelezo binafsi ya mgombea wa CCM jimbo la Igunga Dk. Kafumu

    Hivi wizara ya Madini si ndio imeshindwa kuingizia taifa mapato. Huyu jamaa ataweza kitu kweli, kama kwa muda wote hamekuwepo wizara ya madini ambayo sasa inalawama kibao. Sijui, tufikirie mara mbili (THINK TWICE)
  14. G

    Balozi wa Libya Tanzania akaidi kushusha bendera ya NTC!

    Achana na mambo ya mkataba, mbona sisi Tanzania huwa tunajikomba kwa Amerika na mataifa ya Ulaya. Kuna shida gani huyu balozi akipandisha bedera ya NTC. Ni sawa kabisa, kwanza huyu Gadafi alimsaidia Iddi Hamini kwenye vita vya Uganda kuuwa watanzania wengi. Raisi ametawala 42yrs halafu mnaona ni...
Back
Top Bottom