Kuna ndugu yangu ana-bank na barclays bank,yeye ni mfanyabiashara wa kawaida tu.anauza bidhaa zake za kutoka china, hivi majuzi walikuja wateja kutoka comoro na wakahitaji bidhaa kwake lakini hawa wateja walikuwa hawana cash walikuwa na cheque ya bank yao ya comoro.
Huyu ndugu yangu akawaambia hawezi kupokea cheque labda mpaka awasiliane na watu wa bank ili wampe utaratibu. cheque ilikuwa ni ya ml 30, wale wacomoro wakamwambia hakuna shaka yeye achukue cheque na aende nayo bank. yule jamaa akachukua cheque na kwenda nayo bank ambayo ni barclays, akakutana na maofisa wa bank akawapa ile cheque
Wale watu wa bank wakamwambia kwa kawaida cheque international huwa inachukua muda wa siku 21 kumature. jamaa akaweka cheque bank ili asubiri siku 21, akarudi kwa wacomoro akawaambia kuwa hawatoweza kuchukua bidhaa zake mpaka siku 21 ziishe na awe ameona pesa zimeingia ktk account yake.
wale wacomoro wakakubali kusubiri, baada ya siku 21, jamaa alipocheki ktk account yake akakuta tayari pesa imeingia, akawapigia simu wale wacomoro waje wachukue bidhaa zao, wakachukua wakaondoka zao
baada ya wiki 2 barclays wakampigia huyu ndugu yangu simu, ati arudishe zile pesa na ati ile cheque ilikuwa fake, huyu jamaa yangu akaenda bank, akawauliza yeye ana makosa gani? barclays wakamwambia itabidi awatafute wale wacomoro wamrudishie bidhaa,hapo ndipo nilipochoka na bank za kibongo, hadi sasa hivi ninavyoandika hapa jamaa bado pesa zake zimeshikiwa na bank,
ANAOMBA MSAADA WA KISHERIA WANA JF
Huyu ndugu yangu akawaambia hawezi kupokea cheque labda mpaka awasiliane na watu wa bank ili wampe utaratibu. cheque ilikuwa ni ya ml 30, wale wacomoro wakamwambia hakuna shaka yeye achukue cheque na aende nayo bank. yule jamaa akachukua cheque na kwenda nayo bank ambayo ni barclays, akakutana na maofisa wa bank akawapa ile cheque
Wale watu wa bank wakamwambia kwa kawaida cheque international huwa inachukua muda wa siku 21 kumature. jamaa akaweka cheque bank ili asubiri siku 21, akarudi kwa wacomoro akawaambia kuwa hawatoweza kuchukua bidhaa zake mpaka siku 21 ziishe na awe ameona pesa zimeingia ktk account yake.
wale wacomoro wakakubali kusubiri, baada ya siku 21, jamaa alipocheki ktk account yake akakuta tayari pesa imeingia, akawapigia simu wale wacomoro waje wachukue bidhaa zao, wakachukua wakaondoka zao
baada ya wiki 2 barclays wakampigia huyu ndugu yangu simu, ati arudishe zile pesa na ati ile cheque ilikuwa fake, huyu jamaa yangu akaenda bank, akawauliza yeye ana makosa gani? barclays wakamwambia itabidi awatafute wale wacomoro wamrudishie bidhaa,hapo ndipo nilipochoka na bank za kibongo, hadi sasa hivi ninavyoandika hapa jamaa bado pesa zake zimeshikiwa na bank,
ANAOMBA MSAADA WA KISHERIA WANA JF