Nadhani kuwa au kutokuwa na hela ni relative term. Inategemea unataka hadi niwe na kiasi ndio wewe uone kuwa ninazo au la, ufafanuzi zaidi tafadhali!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi napenda kukufahamu kwanza ili nijue nikutongoze au la? Hiyo picha hapo kwenye profile ni yako? Una umri gani? Umeolewa? Una elimu ya kiwango gani? Muonekano wako kwa nje ukoje (mwembamba/mnene, umbo la kibantu/kiarabu, rangi, nk)? Tabia yako naijua kupitia hapa JF.
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.