MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Tunachokubaliana walau ni kuwa ubongo wa mwanamke una JAM haraka na hvyo kuingiwa na kuweweseka na sio majini wala nini. Wenye mabos wanawake wana uzoef kuhusu panic za mwanamke. Pia wana tatzo la kuvuta hisia kali utadhan wameumbwa na cha arusha automatically. Ukiona mtu anataka kila zuri akikosa analalama WHY ME jua ubinafs unamtafuna. Kuna mengine unaweza kukosa na ukajisemea ooh nina hiki lakin. Wanawake wanashindana sana na Mungu bila kujua.
 
Tunachokubaliana walau ni kuwa ubongo wa mwanamke una JAM haraka na hvyo kuingiwa na kuweweseka na sio majini wala nini. Wenye mabos wanawake wana uzoef kuhusu panic za mwanamke. Pia wana tatzo la kuvuta hisia kali utadhan wameumbwa na cha arusha automatically. Ukiona mtu anataka kila zuri akikosa analalama WHY ME jua ubinafs unamtafuna. Kuna mengine unaweza kukosa na ukajisemea ooh nina hiki lakin. Wanawake wanashindana sana na Mungu bila kujua.
Unakuta mtu ana vingi lakini anateseka na kimoja alichokosa ni kweli aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upuuzi mtupu na sababu zote ni za utetezi wa kitakataka
Sababu zinaweza kuwa moja kati ya hizi zifuatazo
1] Idadi ya wanawake sehemu nyingi huwa kubwa kuliko wanaume, hivo lazima utaona wanawake ndio waathirika zaidi.
2] Mwanammke akiwa katika ada yake ya mwezi mwili wake huwa dhaifu kiroho na hata kama alikua na ibada zake anafanya basi kipindi hichi wanawake wengi huwa wanaacha kwa kujihisi wapo wachafu.
3] Majini ama mapepo kama ulivyowaita wanatamani kama wanavyotamani wanaume wa kibinaadamu.
4]Wanawake wengi wana roho dhaifu hivo huwa wahanga wakubwa wa kurogana [wanatumiana hayo mapepo]
5]Wanawake wanajipamba sana hivo huwa inachochea zaidi kuwavutia majini, rudia namba 3.
6] Si kila mwanammke anae chagawa kuwa ana mashetani bali wengine huwa msongo wa mawazo uliopitiliza. Muda mwingi huwa hisia tu, ama kutendwa au kukosa mume.
7] Wakati huwa wanaigiza tu sana sana mashuleni kwa kuogopa mtihani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuje kwa kuambwa adamu na hawa,hawa alijaribiwa na shetani msile hilo tunda lakati kati ya bustani kwahiyo wanawake niwazaifu kiroho na kiimani wakipata majaribu uwanguka napia wakidanganywa hupaniki
 
Wengi niliowashuhudia hasa kwenye maombi hua hawana mashetani wala nini. Ni vile tu wanawake by nature hua wanapenda kupiga makelele na kujigalagaza chini hasa wanapozidiwa na emotions. We huonagi ata kwenye misiba wanawake wanavyofanyaga vituko?
Sana sana ni kutafuta attention tu. Typical tabia ya kike.
 
How can you prove kuwa wanawake Wana roho dhaifu?

Dah...wanaume mmejivika Ukuu mpaka kwenye roho za wanawake.So mwanamke no dhaifu kimwili,kiroho na kiuchumi?

Ili mradi mumuweke awe kiumbe duni Tu.Wengine hudiriki kusema mwanamke ana Akili ndogo zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Takuwimu zinaonesha wanawake ndio waendao kwa waganga kwa asilimia kubwa, siwezi kukupa proof ya namba ila uzoefu unaonesha hivo.Hata na wewe hili huwezi kupinga, je unaweza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana Jr,
Mshana je kuna Ukweli kuwa wasichana wanaovamiwa na hayo madude somehow wanakua na roho za kichawi so Ile nguvu ikiingia kwa mfano shuleni basi uwavaa wao moja kwa moja, nasikia kuna Vita fulani kati yao.

Nilisikia Haya kutoka kwa ex wangu aliekua ni victim na mzee wake alimwachia vya kumwachia akiwa form one alivofariki.
 
Hakuna swala la majini wala mapepo, ni kujiendekeza tu.

Wanawake wanaponzwa na hisia zinazovuka mipaka, ndio maana huwa hata ni rahisi kwao kulia, na anaweza kulia na kupoteza kabisa control.

Hata ukiwakusanya Wanawake ukumbini ukawapigia ngoma na msaga sumu awaimbie yale manyimbo yake, kadri muda unavyoenda nusu yao wataishia kuvua nguo.

Waganga na Wachungaji feki kwao ndio ulaji, maana wameshajua udhaifu wao.

Hata kile kinachotokea mashuleni ni ujinga wa kupokezana tu kwa Vitoto vya kike, unakuta mmoja ndio ana tatizo lakini wengine watampokea, lakini kiukweli hakuna chochote kinachowasibu.
Muepuke sana kuwaaminisha Watoto uwepo wa majini na mapepo, au mambo ya kusadikika...wengi wanaofanya haya unakuta akili zimeshalishwa huo ujinga wa mapepo, sijui nguvu za giza n.k.
 
May Day, Huwezi amini Mungu yupo ukaacha kuamini uwepo wa hivi vitu. Kama huamini tembea mikoa kama vile Tabora,Tanga, na Zenji utaelewa uwepo wa hivi vitu.

Ingawa ukiwa na Imani yako imesimama utavisikiaga tu kwa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
May Day, Huwezi amini Mungu yupo ukaacha kuamini uwepo wa hivi vitu. Kama huamini tembea mikoa kama vile Tabora,Tanga, na Zenji utaelewa uwepo wa hivi vitu.

Ingawa ukiwa na Imani yako imesimama utavisikiaga tu kwa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi vitu havipo.

Kwa nini wengine waone/wakutane nayo wengine wasione/wasikutane nayo? tofauti yetu ni nini?

Kuna Watu wana matatizo ya kiakili, wanapata kile wenzetu wanaita "ilucination" na pale wanapokutana na hao Manabii feki na Waganga feki wanageuzwa mitaji...na ndio wanatumika kuogofya wengine.

Kwa mfano kuna yule bwana huwa anajieleza kule Redio Free africa, anasema mambo sijui ya gambushi...ni kujazana ujinga mtupu.
 
Majini au mapepo au mizimu ni nini ?

Unajuaje kwamba haya ni majini au mapepo au mizimu ?
Vyote ni kitu kimoja, ni viumbe ambao wanaishi katika ulimwengu ambao ni parallel na ulimwengu tunaoishi wanaadam, wanamaisha mfano wa maisha yetu sisi, hawawezi kuonekana wakiwa katika umbile lao husika mpka watakapo chukua umbile la kitu chengine, wanaishi muda mrefu zaidi kuliko wanaadam.
Huwa wanaitwa mizimu once ikiwa kulikua na mtu anamkataba nae i.e huyo jini halafu huyo mmiliki ikitokea amefariki basi yule jini huaanza kuwashughulisha wale watu walioachwa na marehemu ndio watu huwaita mizimu.
Mzimu kama mzimu hauexist bali ni hayo hayo mapepo wamepatiwa majina tu kulingana na role wanayoplay.
Suali jengine tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyote ni kitu kimoja, ni viumbe ambao wanaishi katika ulimwengu ambao ni parallel na ulimwengu tunaoishi wanaadam, wanamaisha mfano wa maisha yetu sisi, hawawezi kuonekana wakiwa katika umbile lao husika mpka watakapo chukua umbile la kitu chengine,
Unafahamu hujajibu majini au mapepo au mizimu ni nini.

Ulichojibu ni masimulizi na siyo maana ya majini au mapepo au mizimu.

Pasipo ku-define majini au mapepo au mizimu mjadala unakuwa opotoshaji.
 
Msituchanganye hapa. Kwanza wanawake wenye majini wengi wao ni waislam.
Wengi wao hawana elimu ya darasani.
Wengi wao huyapata wakiwa wadogo hawajawa na hayo majanaba wala hedhi, huanza kuanguka shuleni tena kwenye shule za kimaskini ndio wengi.
Wengi wao ni kutoka tanzania... sijasikia wanawake wa kizungu wanaanguka shuleni wakati wao ndio wanaongoza kuishi na majanaba.
Angalia hiyo video



Happy dude
 
Kwa kiasi kikubwa naona au kusikia watu wakipandisha au kutolewa majini huwa kwa asilimia kubwa hilo jini utasikia ni mwanamke, na hata wale ambao wanasema wamekutana na jini ukiwauliza wanasema ni mwanamke tena mzuri na ananukia.

Je, kuna mahusiano gani ya jini na jinsia ya kike?
 
Back
Top Bottom