Recent content by Gaganda

  1. Gaganda

    JamiiForums Tanzania TUCTA yajilipua kumjibu Rais Magufuli kuhusu kutoongezeka mishahara

    Awa TUCTA wanapiga TIKTAKA tuu! Anna lolote.
  2. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi unayejielewa unaanzaje kupata supplementary?

    Watu kama hawa huwa wanawashwa nn sijuwi!! Amesoma kiswahili na history anakuja kuandika wehu WAKE! ! Isitoshe alikuwa anahonga (kama ni wakiume )au alikuwa anahongwa (Kama ni ke )
  3. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi unayejielewa unaanzaje kupata supplementary?

    Ww acha wehu wako!! Inategemeana unasoma facult gani,kama unasoma uwalimu tena kiswahili na history utasap vp,japo napo itategemeana unaishije na wenzako na Lecturers wako. Muda mwingine SUP huwa haziepukiki. ww umekaa ukaona unawashwa washwa na sup ukaona bora uandike ujinga wako huku...
  4. Gaganda

    JamiiForums Tanzania TCU timizeni ahadi yenu ya kutoa majina ya waliachaguliwa vyuo vikuu

    Mnaharaka sana ya kwenda vyuoni si NDIO? ? Kwa taarifa yako utaweka bando kwa kuvizia mpaka ukome! TCU hawafanyi kazi kwa kuamrishwa na mtu !! Isitoshe tena ww mviziaji na presha zako ndo utasubiri sana. *****kuwa mvumilivu****
  5. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Jerry Muro: Utoto huu wa mbunge Nassari na Lema, Watanzania tuwe wakali. Tutapoteza taifa

    NDUGU Jerry! Usifikirie kwamba kila mchezo ni wa mpira. kuna michezo mingine siyo ya kubwabwaja kijingakijinga kama ulivyozoea. Hii ni Siasa hai. kama unaomba ukuu wa Wilaya au Mkoa tafuta njia nyingine sio hiyo uliyoichagua. INAONESHA TAYARI UMESHAKUWA NA ELEMENT ZA UPUMBAVU WA AKILI !! waache...
  6. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Wazo la biashara kwa wanafunzi wa vyuo vya afya

    Uko vzr !wazo lako ni zuri kabisaa
  7. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Video: Hasira za Rais Magufuli kwa "watu wazembe"

    Hili ZIMWI litawatauna mbaka washangae,BADO kidogo tutasikia wameanza kupigana RISASI wenyewe..... Wamuulize mh. Nape Hana hamu na Serikali ya CCM anajikaza kisabuni tuu anaogopa kufungua mdomo!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Kiwewe kizito chawakumba walioshiriki au kushirikishwa katika jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu!

    Ndo maana hata pesa ya matibabu hawakutuma walijua atakufa wazipige!!
  9. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya vyuo vya afya vilivypfungwa kwa diploma...

    Endelea kukiamini Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Zitto: Namkubali Rais Magufuli asilimia 100, sizitaki tena siasa za vurugu

    Anataka uwazir hana jipya huyu! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mahakama ya Kisutu: Tundu Lissu apata dhamana

    Safi kabisa !! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi; ukisoma International relations unaweza kufanya kazi gani?

    Kama unampango wa kukiajiri kasome hiyo, ila kama unamalengo ya kuja kuajiriwa umepotea njia!! Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
  13. Gaganda

    JamiiForums Tanzania Wapinzani tumeukubali muziki wa Rais Magufuli

    Umetumwa ww, Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom